Wakuu heshima zenu.
Nina interest ya kuwekeza kwenye hii sector ya ufugaji either kwa kushilikiana na NARCO au na watanzania wenye blocks.
Eneo liwe kwenye Kikula Ranching complex ambayo inajumuisha Kikula yenyewe, Kagoma na Mabale, eneo la pili ni Missenyi Ranch.
Kama kuna mudau mwenye kuelewa mchakato mzima wa upatikanaji wa blocks (ingawaje indaiwa blocks zote zimeshachukuliwa na wajanja) basi naomba anijuze pia kama kunamtu mwenye block na anahitaji mtu wa kushirikia nae pia aniambie.
Shukurani
Nina interest ya kuwekeza kwenye hii sector ya ufugaji either kwa kushilikiana na NARCO au na watanzania wenye blocks.
Eneo liwe kwenye Kikula Ranching complex ambayo inajumuisha Kikula yenyewe, Kagoma na Mabale, eneo la pili ni Missenyi Ranch.
Kama kuna mudau mwenye kuelewa mchakato mzima wa upatikanaji wa blocks (ingawaje indaiwa blocks zote zimeshachukuliwa na wajanja) basi naomba anijuze pia kama kunamtu mwenye block na anahitaji mtu wa kushirikia nae pia aniambie.
Shukurani