xenophopia na inferioty complex ilipeleka watz kufanya hivyo, nothing else.... waizi na conment kutoka naigeria hushikwa huku kenya na ni hata hutaskia ikiongelewa kwa news, hubaki story za mtaa...
Kwa kuandika hilo bango ba kupost hizo mapicha kila mtu aone, haina tofauti na malengo ya wale magaidi hushika yeyote kutoka nchi za magharibi na kumuabisha mbele ya camera ili kutia nchi husika aibu na machungu... lets face it, hao watu walio fanta hivyo kwa huyo mwanadada, hio jamii inajiona iko chini na inferior kwa wakenya, kwahivyo kufanta hio statement, ni kama an act of rebelion or reveng because you have resentment.... kama ingekua mwizi toka malawi au burundi hamngemfanya hivyo......
just imagine, kama huku kenya tushike mwizi kutoka nchi kama marekani alafu tumuaibishe hadharani, i bet some of us will feel good about ourselves because we have humiliated a country wich we feel inferior to...... thats whats happening here, I bet hawa watz walikua wanaona wame acomplish kitu kikubwa walipo fanya hivi... thus i say... xenophobia towards foreigners and inferiority complex for kenya ndo iliwapeleka kufanya hivi