Baa ya vichaa walifurahia Songoro kunyimwa tender ile yenye ukakasi ya Mv Magogoni kupitia Erythrocyte wao!Bar ya vichaa watakuja kuwambia Songoro alikuwa na kadi ya CCM so hakupaswa kupewa tenda
USSR
Hongera SongoroNi meli mpya ya mwendokasi iliyotengezwa na kampuni ya wazawa Songoro Marine Yard ya jijini Mwanza.Iliyozinduliwa katika Ziwa Victoria
Ambayo imejizolea umaarufu kutokana na ubora wake pamoja na kurahisisha zaidi huduma za usafiri kati ya Mwanza na kisiwa cha Ukerewe.
Kampuni za wazawa zinao uwezo pale zinapoaminiwa.
Uliziona meli zake za Ziwa Nyasa zilizotaka kuua abiria ?Baa ya vichaa walifurahia Songoro kunyimwa tender ile yenye ukakasi ya Mv Magogoni kupitia Erythrocyte wao!
Dili la wakubwa hloMbona kanyimwa tenda ya kivuko cha bilioni 7.5...
Ni miongo tangu kampuni hii kuanza shughuli za usafirishaji ziwa Victoria. Sijawahi sikia ajali iliyotishia uhai wa abiria kwa vyombo vyake.Uliziona meli zake za Ziwa Nyasa zilizotaka kuua abiria ?
Wewe Erythrocyte tayari tumekuona ukiwa na chuki binafsi kwa Songoro Marine.Uliziona meli zake za Ziwa Nyasa zilizotaka kuua abiria ?
Katengeneza meli nyingi tu na vivuko na tena hajaanza wakati we ulipomjua. Je umeuliza hiyo meli ilikuwa na hitilafu gani?Uliziona meli zake za Ziwa Nyasa zilizotaka kuua abiria ?
Umenikumbusha. Kitu kuhusu Kipanya Motors!Songoro Marines ni tafsiri halisi ya BBM ya Young D.
Nchi ya majungu na umbea hii,wenzetu watu kama hawa wanawezeshwa zaidi.
BTW:KP Motors ya Kipanya imeishia wapi? Nilimuona Katibu Mkuu wa "nyokanyoka" akipiga siasa za uwezeshaji.
Wewe ndie ungeleta hapa,sio sisi tunaomuamini Songoro bali wewe unaemchukia Songoro Marine!Katengeneza meli nyingi tu na vivuko na tena hajaanza wakati we ulipomjua. Je umeuliza hiyo meli ilikuwa na hitilafu gani?
Songoro Marines na Mayanga Constructions mmiliki mkubwa kalala Chato.Bar ya vichaa watakuja kuwambia Songoro alikuwa na kadi ya CCM so hakupaswa kupewa tenda
USSR
Yaani inafikirisha sana. Mtu yuko radhi atoe pesa zetu za kigeni nje kuliko kumpa Mtz mwenzie ndani kisa 10%Kama naiona vile serikali ya awamu hii na yale majungu yake ya kuwaza 10% tu kwenye manunuzi yake, badala ya kuwaimarisha wawekezaji wazawa ili kuinua uchumi wa nchi.
Wako radhi wakanunue bidhaa nje ili wapate 10%, kuliko kununua bidhaa ya aina hiyo hiyo inayotengenezwa nchini. Uzalendo 0! Ubinafsi na upigajj ndiyo vimetawala.
Amekimbia Bukoba, kaipeleka Gozba, huko tunapeleka clarias, ukerewe tunapeleka chombo ingine.
Hizo meli za JPM mpaka akaziuze kisumu