Ipad Naitupa Hiyo

Ipad Naitupa Hiyo

Onyo siku hizi kuna katabia unauziwa watu wanarudi tena polisi wakiripoti wameibiwa.
mchezo huu ulikuwa kwenye magari na simu.

hakikisha mnaenda polisi kuandikishana ili ikitokea polisi ndio kijumbe
Sawa. Una hoja. Usikilizwe
 
Wasiliana na mimi niuonyese jinsi ya ku-break passwords za devices zote za Apple na hata kufuta mafaili yote huko iCloud. Ila ukishikwa usiseme kuwa mimi ndiye niliyekufundisha kwani ni njia inayogunduliwa kwa matumizi ya FBI tu baada ya Apple kukataa kutoa password ya yule gaidi Mohammed Saeed Alshamrani aliyeuwa watu Pensacola
 
Onyo siku hizi kuna katabia unauziwa watu wanarudi tena polisi wakiripoti wameibiwa.
mchezo huu ulikuwa kwenye magari na simu.

hakikisha mnaenda polisi kuandikishana ili ikitokea polisi ndio kijumbe
Ni polisi gani huyo atakeye kubali kuingia kwenye mtego huo?!!kwani hiyo sio kazi yake
 
Back
Top Bottom