Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Evelyn Salt daaahNi ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evelyn Salt daaahNi ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Sasa hapo kosa lake like wapi a genius kubwza mamboWanaume tunapungua kwa kasi sana! Yani mpaka walio enda mbele tunao amini wamestaharabika bado wana akili kuliko vishandu wa bodaboda[emoji23][emoji23][emoji1787] View attachment 2672218
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Una hoja. UsikilizweOnyo siku hizi kuna katabia unauziwa watu wanarudi tena polisi wakiripoti wameibiwa.
mchezo huu ulikuwa kwenye magari na simu.
hakikisha mnaenda polisi kuandikishana ili ikitokea polisi ndio kijumbe
Ujue huna hela.. watu ambao sio wateja huwa wana vijisababu lukuki vya kuikimbia bidhaa🤣🤣Mbona kama imeivilia wino
*****[emoji16][emoji16][emoji16]Ni ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Hapana nauliza yeye kasema paswrd ndio shida kuhusu wino ajasemaUjue huna hela.. watu ambao sio wateja huwa wana vijisababu lukuki vya kuikimbia bidhaa🤣🤣
Sasa kama hajazungumzia ujue hamna tatizoHapana nauliza yeye kasema paswrd ndio shida kuhusu wino ajasema
Mtoa mada atakua mhaya or mbeya
Agiza mama,bill kwangu😉Ni ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Ngoja nichukue nmb zakeSasa kama hajazungumzia ujue hamna tatizo
Yaani mimi nikungojeNgoja nichukue nmb zake
Ni polisi gani huyo atakeye kubali kuingia kwenye mtego huo?!!kwani hiyo sio kazi yakeOnyo siku hizi kuna katabia unauziwa watu wanarudi tena polisi wakiripoti wameibiwa.
mchezo huu ulikuwa kwenye magari na simu.
hakikisha mnaenda polisi kuandikishana ili ikitokea polisi ndio kijumbe
basi na biashara imekufa.Ni polisi gani huyo atakeye kubali kuingia kwenye mtego huo?!!kwani hiyo sio kazi yake
Hahaaaa!!hizo ni njaa zao tu,lakini likitokea la kutokea, wanaingia matatizoni,na hawatakuwa na uwezi wa kukusaidia kisheria.basi na biashara imekufa.
pale ostabey polisi kuna mchezo huu sana
Na utoweza ningojaYaani mimi nikungoje
Yaani wewe ymenifanya nichek kwa sauti ujue.Ni ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi