Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ifungue kwanza ndio uiweke sokoniYes but inatoka
Kosa hapo sio kuuza ipad mzee! Ishu ni hilo saga la ipad yenyewe! Angeishia tu kusema anauza ipad ila hayo mengine kajivua nguoSasa hapo kosa lake like wapi a genius kubwza mambo
Nipo likizo wewe sikuiz umenitengaKosa hapo sio kuuza ipad mzee! Ishu ni hilo saga la ipad yenyewe! Angeishia tu kusema anauza ipad ila hayo mengine kajivua nguo
Aisee vipi kwanza! Kitambo sana! Mlifungua shule nini!?[emoji1787][emoji1787] Upo likizo ya sikukuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uume pia. Unautaka?Ni ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Acha shobo na wanaume za watu. Nimeoa,mke wangu akiona unaleta shobo za upinde itakugharimuTupe namba za demu wa canada tumuulize. Mbali na hapo hiyo ni iPad ya uwizi
Ana shobo Na ni masikini hataki kuonekana yupo nyuma ya vitu asivyoviwezaUjue huna hela.. watu ambao sio wateja huwa wana vijisababu lukuki vya kuikimbia bidhaa[emoji1787][emoji1787]
Kwani masikini hapumui bro kisa ilo kapet la many oya linakudanganya kuwa tajiri?Ana shobo Na ni masikini hataki kuonekana yupo nyuma ya vitu asivyoviweza
Kaiba huyo,na kamwe haifunguki hiyo bila apple id ya mwenyewe aliyeibiwa.password kipengele
Mr bring back my thingsNi ipad tu ulimnyang'anya au kuna bidhaa nyingine pia mkuu, tununue....viatu, pochi
Ulete tu mikoani si unatumaUume pia. Unautaka?
Hivi mwanaume unapata wapi nguvu ya kusema niache shobo na wanaume za watu mbona ww ndio una sound kama upinde mpindisho. Uliemuoa wanakusaidia kibaka wa blue. Umeiba hutaki tuseme ukweliAcha shobo na wanaume za watu. Nimeoa,mke wangu akiona unaleta shobo za upinde itakugharimu