Ipe bajeti nyumba ya ndoto yangu

Ipe bajeti nyumba ya ndoto yangu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
118791714_1214986718867020_7014208029163849857_n.jpg
 
Vyumba ngap?
Ila hiyo bati mgongo wake upo kizamani
 
Hapo inabidi ukatafute viwanja vya milimani Mbezi, Kimara, Goba na makongo Juu
 
Mkuu hiyo ni bei ya ramani? weka na bajeti ya mjengo
1.5 yenyewe kajipendelea, juzi hapa nimechorewa ramani kwa 2.5m

nimeificha ramani yangu chini ya godoro na zile animation zake clip za

outcome after finishing nazi play kama matangazo ya airtel pale airtel shop nikiwa zangu kazini..

Makadirio ya hiyo nyumba kama anataka iwekea mbwembwe kama inavyoonekana akiwa na 250m anaipata hiyo nyumba japo sijajua hata ina ukubwa gani ila lazima bei icheze humo 200m lazima ifike.
 
Sasa mkuu huo msingi mrefu hivyo si ni bora ufanye ghorofa nyumba nzima
 
Back
Top Bottom