Ipe bajeti nyumba ya ndoto yangu

Vyumba ngap?
Ila hiyo bati mgongo wake upo kizamani
 
Hapo inabidi ukatafute viwanja vya milimani Mbezi, Kimara, Goba na makongo Juu
 
Mkuu hiyo ni bei ya ramani? weka na bajeti ya mjengo
1.5 yenyewe kajipendelea, juzi hapa nimechorewa ramani kwa 2.5m

nimeificha ramani yangu chini ya godoro na zile animation zake clip za

outcome after finishing nazi play kama matangazo ya airtel pale airtel shop nikiwa zangu kazini..

Makadirio ya hiyo nyumba kama anataka iwekea mbwembwe kama inavyoonekana akiwa na 250m anaipata hiyo nyumba japo sijajua hata ina ukubwa gani ila lazima bei icheze humo 200m lazima ifike.
 
Sasa mkuu huo msingi mrefu hivyo si ni bora ufanye ghorofa nyumba nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…