Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Mimi nimeona picha nikajaribu, ni nzuri sana!
Umua unga kama wa mabanzi na uache uumuke kwa nusu saa.
Kwenye sufuria safi chemsha samaki(nguru/jodari au yyt mwenye steki) mchapuze vile upendavyo kwa ndimu ,pili pili, thomu ,tangawizi etc
Akikauka mchambue na ueke pembeni. Kata kitunguu maji km cha sambusa, pili boga na carrot ipare, vikaange kidooogo then mix na samaki vikipoa, add mayonnaise na cheese(mozerella)kiasi upendacho tegemea na wingi wa mchanganyiko wako.
Sukuma donge la unga km chapati then kata kwa glass viduara hadi uishe.
Weka mchanganyiko juu ya viduara na uukunje bila ya kuufunika juu.
Grate mozerella kiasi na utupie juu ya viduara ulivyovifunga
Wacha uumuke na uchome.
Vizuri ukila vikiwa vina uvuguvugu yaani havijapoa!
Umua unga kama wa mabanzi na uache uumuke kwa nusu saa.
Kwenye sufuria safi chemsha samaki(nguru/jodari au yyt mwenye steki) mchapuze vile upendavyo kwa ndimu ,pili pili, thomu ,tangawizi etc
Akikauka mchambue na ueke pembeni. Kata kitunguu maji km cha sambusa, pili boga na carrot ipare, vikaange kidooogo then mix na samaki vikipoa, add mayonnaise na cheese(mozerella)kiasi upendacho tegemea na wingi wa mchanganyiko wako.
Sukuma donge la unga km chapati then kata kwa glass viduara hadi uishe.
Weka mchanganyiko juu ya viduara na uukunje bila ya kuufunika juu.
Grate mozerella kiasi na utupie juu ya viduara ulivyovifunga
Wacha uumuke na uchome.
Vizuri ukila vikiwa vina uvuguvugu yaani havijapoa!