Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Nlshaona Kila kitu Hapa nataka tu maoni ya wabongo waliozitumiaGo google and YouTube you'll get everything you wanna know about those phones.
Nlshaona Kila kitu Hapa nataka tu maoni ya wabongo waliozitumia
M nakua na huko pote nmepita Ila cjawah kuztumia mm nataka maoni ya waliozitumiaAcha ubishi wewe. Kama umeona kila kitu lazima ungejua ni ipi inatoa picha nzuri kuliko nyingine na ni ipi inakaa na chaji kuliko nyingine na hayo matukizi mengine unayoyataka.
Mtu anaweza kukwambia 11 pro haikai na chaji kumbe ni kutokana na matumizi yake.! Au 12 haitoi picha nzuri kumbe ni setting zake tu.
M nakua na huko pote nmepita Ila cjawah kuztumia mm nataka maoni ya waliozitumia
Iphone 11pro Ina betr kubwa kuzd la iPhone 12 plain
Iphone 11 pro camera yake ni nzur kwny kuzoom Ila iphon 12 plain sio nzur kwenye zoom Ila inatoa picha hata kwny mwanga hafifu
Natumia infinix mie. ππ labda mshamba_hachekwiDepal tia neno
Wakuu mambo vipii
Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha ipi inatoa picha Kal kulko mwenzie na ni ipi performance yake ni nzur kwa matumiz ya Mtanzania.
NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.
TUHESHIMIANE GUYS.
View attachment 2615338View attachment 2615337
Yupo darasani anasoma a e i o u πππ ngoja aje atasemaNatumia infinix mie. ππ labda mshamba_hachekwi
Ngj tu nchukue 11 pro kwa ushaur wakoSawa mkuu ngoja waje.
Mimi nimetumia 11 plain na sasa nipo na 13 pro max. Ungeuliza hapa ningekushauri uchukue 11 plain. Ni simu nzuri sana picha hadi kukaa na chaji inatoboa hata siku 2.
AsanteDepends unataka nini. Iphone 12 ina umbo dogo kulinganisha na 11pro,
Iphone 12 ina kioo cha super retina, means ina display nzuri na bezels ndogo kuliko 11pro.
Battery wise 11pro ina battery kubwa na scree kubwa
Ila kwenye cpu 12pro ina 14bionic which speed ni two times kuliko 13bionic iliyoko kwenye iphone 11 pro
mi niko team tecno rafki yangu....πNatumia infinix mie. ππ labda mshamba_hachekwi
Aifoni acha atumie huyo Mwanaume wa Dar, jonijomi niko team tecno rafki yangu....π
najua wewe unayo πAifoni acha atumie huyo Mwanaume wa Dar, jonijo
unachukuwa kwa sh ngap 11 proNgj tu nchukue 11 pro kwa ushaur wako
Oky mkuuMm natumia iPhone 12 Pro Max gb 256 kwenye swala la moto mm naona iko vizuri zaidi toka niinunue Mpaka leo ina betri asilimia Mia
iPhone 11 sio simu ya kununua chukua kuanzia pro na kuendelea ili ufaidi vitu vingi kama unaweza chukua kabisa 14 pro max
Depends unataka nini. Iphone 12 ina umbo dogo kulinganisha na 11pro,
Iphone 12 ina kioo cha super retina, means ina display nzuri na bezels ndogo kuliko 11pro.
Battery wise 11pro ina battery kubwa na scree kubwa
Ila kwenye cpu 12pro ina 14bionic which speed ni two times kuliko 13bionic iliyoko kwenye iphone 11 pro