iPhone 11 Pro vs iPhone 12 plain

iPhone 11 Pro vs iPhone 12 plain

Wakuu mambo vipii

Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha ipi inatoa picha Kal kulko mwenzie na ni ipi performance yake ni nzur kwa matumiz ya Mtanzania.

NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.

TUHESHIMIANE GUYS.

View attachment 2615338View attachment 2615337

Chukua 12 ni nzuri zaidi,hata kwa umbo ni kubwa zaidi.
 
Hapana kaka 12 ina umbo kubwa kuliko 11pro.
Maana ni muendelezo wa 11plain abayo ilikuwa na umbe kubwa kuliko 11pro.
So kila kitu ni bora zaidi kuliko 11pro,ingawa kama ni mshamba wa macho 3,12 ina mawili tu.

Sikumaanisha 12 pro max nope. Namaanisha 12 plain. Kiumbo 11 plain ni yenyewe wameizidi 12 plain kidogo, 11pro ni kubwa kuliko 12 plain.
 
Sawa mkuu ngoja waje.
Mimi nimetumia 11 plain na sasa nipo na 13 pro max. Ungeuliza hapa ningekushauri uchukue 11 plain. Ni simu nzuri sana picha hadi kukaa na chaji inatoboa hata siku 2.

Shukrani mkuu mwakani nataka ni badili nafikir nitachukua hii
 
"NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.

TUHESHIMIANE GUYS."

Maneno ya kike kabisa
 
"NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.

TUHESHIMIANE GUYS."

Maneno ya kike kabisa
**** la mamako go and fucking ur self
Kajitie dole alafu ujinuse
 
Kwa uelewa wangu wakijinga. ..iPhone 11 max ni 4g while iPhone 12 ina 5g...hio nitofauti kubwa sn kitechnologia
 
Chukua tecno phantom bwana mkubwa

Mwanaume haya makelele yote unayopiga hapa hayana maana unatumia simu inakuzuia usidownload app
Yani Mwanaume kitu kidogo kama simu unataka kikuendeshe wakati maisha pia yanataka kukuendesha

Empty cell
 
Chukua tecno phantom bwana mkubwa

Mwanaume haya makelele yote unayopiga hapa hayana maana unatumia simu inakuzuia usidownload app
Yani Mwanaume kitu kidogo kama simu unataka kikuendeshe wakati maisha pia yanataka kukuendesha

Empty cell
Nani kasema iPhone inakuzuia kudownload app?
Kwani App store kwenye iPhone ina kazi gani [emoji848][emoji848]
 
Nani kasema iPhone inakuzuia kudownload app?
Kwani App store kwenye iPhone ina kazi gani [emoji848][emoji848]
Mkubwa kwanza heshima yako

I know kuna apple store
Nilitaka ni evoke reaction toka kwa mtoa mada maana keshasema hamna kutaja androids

Ila tukirudi kwenye swali
I stand to be corrected app za android zipo nyingi zaidi kuliko apple
Kuna app apple huwezi kuzipata lakini android zinapatikana
Hilo ndo ninalolijua
 
Mkubwa kwanza heshima yako

I know kuna apple store
Nilitaka ni evoke reaction toka kwa mtoa mada maana keshasema hamna kutaja androids

Ila tukirudi kwenye swali
I stand to be corrected app za android zipo nyingi zaidi kuliko apple
Kuna app apple huwezi kuzipata lakini android zinapatikana
Hilo ndo ninalolijua
Yeah ni kweli kuna application nyingi kwenye Play Store kuliko App store, na bado kwenye Android unaweza kudownload apps nje ya Play Store

Lakini applications nyingi za muhimu zipo mkuu. Bila kusahau applications nyingi ziko more optimized kwenye iOS kuliko Android

Na unaweza kuona Play Store ina apps nyingi ambazo ni useless, nyingine zinatoa poor experience kwa users that's why unaona apps zipo nyingi Play Store, hata apps za poor quality zimejaa huko.

Mara nyingi ukiona mtu amechagua iOS ujue ameshakubaliana na restrictions za iOS, na hana budi kuikubali ilivyo. Software ni very subjective

Ila all in all upo sahihi, Android users wana access ya apps nyingi kuliko iPhone users
 
Back
Top Bottom