Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Baki kwenye 14Wadau wanasema Zina changamoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baki kwenye 14Wadau wanasema Zina changamoto
Agiza online toka kwao wenyeweNiambie simu of Kwa ujumla za iphone uliacha maduka ya mlimani city...niende wap
Nielekeze kakaAgiza online toka kwao wenyewe
AiseeWadau wanasema Zina changamoto
1) Ingia Apple (www.apple.com)Nielekeze kaka
Cha mwishombona bei ya 14 na 15 almost same?1) Ingia Apple (www.apple.com)
2) Chagua nchi
3) Chagua bidhaa
4) Ongeza kwenye order
5) Utatakiwa ujaze taarifa za jinsi utakavyolipia na anwani ya usafirishaji.
6) Thibitisha oda
7) Fanya malipo
8) Malipo yakifanyika utapokea uthibitisho na utaweza kutrack transfer.
Wanasema upande WA joto....unapata moto sana...Aisee
Yaani ndio zimetoka au "sizitaki mbichi hizi" 😄 🤣
Kidding
Mbona ni kama 14 tu iliyoboreshwa na kubadilishwa kidogo
Tuishi humo...Baki kwenye 14
Kama chanzo cha taarifa za ubovu wa 15 kazitoa mkuu hapo juu ni taarifa amezitoa kusapoti kwamba Makumbusho kuna used iphone 15Cha mwishombona bei ya 14 na 15 almost same?
Na hizo changamoto za 15 is it worth???
Zinavumikika?
Troubleshooting huwa zinatokea kwa moja moja ila sio zoteWanasema upande WA joto....unapata moto sana...
Sio sizitaki mbichi hizi...
Nimeona wamejadili sana...
Ila nilitaka 14 either 14 au plus yake lakin naona bei hazipishani na 15....
Wanakuja kukwambia kama shida ni camera chukua google pixel.Tuishi humo...
Binafsi Samsung hata ya bei sana....nazipenda Kwa kweli...
Nzuri...
Ila Kwa kazi nayoitaka camera ndo SI unit....picha za Samsung za kisabato sana...picha flan Ina kama ka ukungu...
So naona ninunue 14....
Eeeh nikachek bei za 14 naona hazitofautian sana na 15....nikasema embu tu tumalizie hili swala...
Naona watu wanasema 15 inapata moto ilo bati lake unaweza injika chakula.
Nabak njia panda. Binafsi Mimi mgeni katika hii kitu
Tuishi humo...
Binafsi Samsung hata ya bei sana....nazipenda Kwa kweli...
Nzuri...
Ila Kwa kazi nayoitaka camera ndo SI unit....picha za Samsung za kisabato sana...picha flan Ina kama ka ukungu...
So naona ninunue 14....
Eeeh nikachek bei za 14 naona hazitofautian sana na 15....nikasema embu tu tumalizie hili swala...
Naona watu wanasema 15 inapata moto ilo bati lake unaweza injika chakula.
Nabak njia panda. Binafsi Mimi mgeni katika hii kitu
Nicheki tuyajenge,Apple iPhone15 128GB black SIM free ,Orginal Japan,whatspp +81 80-2071-7421Jamani.,ni duka lipi??? lenye hii sim mpya original kabisanalitafuta
Mambo kaka...naomba ufungue pm nimekwama hapa kwenye ununuzi WA onlineAgiza online toka kwao wenyewe
Nenda mlimani City tu ndugu iPhone ujanja mwingi sanaMambo kaka...naomba ufungue pm nimekwama hapa kwenye ununuzi WA online