iPhone 16 Promax (kopi ya Kichina) Tsh. 290,000 tu

iPhone 16 Promax (kopi ya Kichina) Tsh. 290,000 tu

Hivi vikopi huwa naviona kwa watoto wa chuo,Afrika tuna ujinga wa kiwango cha PhD.
Hatujali kuhusu madhala,cha msingi tuonekane na tuna iphone 16 pro max
Kuna nadharia moja kwenye biashara ambayo Mchina anaifanyia kazi sana japokuwa in a negative way.....kwamba kabla ya kuanzisha biashara unatakiwa uzingatie kwamba inakwenda kutatua changamoto kwenye Jamii. Wakati sie tukimwona mtu amevaa nguo chakavu na viatu ili mradi tunamsikitikia wenzetu Wachina wanakuja na product ya bei nafuu mno (fake) ambayo yule mtu anaweza akaimudu naye akavaa viatu ama nguo kama wengine.

Ndo na hapa ulivyosema watu hawaangalii madhara huku Mchina tayari kaishasoma akili za watu (hasa Waafrika) kuhusu iPhone, anaingia chimbo anawatolea kitu cheap kukidhi mahitaji ya nyoyo za wapenda sifa ambazo sio zao na bahati mbaya hizo simu hata kiwanda chake hakijulikani hivyo uwezekano zikawa na madhara ni mkubwa zaidi na ukute zinaingia kama toy za watoto.
 
Kuna nadharia moja kwenye biashara ambayo Mchina anaifanyia kazi sana japokuwa in a negative way.....kwamba kabla ya kuanzisha biashara unatakiwa uzingatie kwamba inakwenda kutatua changamoto kwenye Jamii. Wakati sie tukimwona mtu amevaa nguo chakavu na viatu ili mradi tunamsikitikia wenzetu Wachina wanakuja na product ya bei nafuu mno (fake) ambayo yule mtu anaweza akaimudu naye akavaa viatu ama nguo kama wengine.

Ndo na hapa ulivyosema watu hawaangalii madhara huku Mchina tayari kaishasoma akili za watu (hasa Waafrika) kuhusu iPhone, anaingia chimbo anawatolea kitu cheap kukidhi mahitaji ya nyoyo za wapenda sifa ambazo sio zao na bahati mbaya hizo simu hata kiwanda chake hakijulikani hivyo uwezekano zikawa na madhara ni mkubwa zaidi na ukute zinaingia kama toy za watoto.
Wewe unaumia nini?
 
Kuna nadharia moja kwenye biashara ambayo Mchina anaifanyia kazi sana japokuwa in a negative way.....kwamba kabla ya kuanzisha biashara unatakiwa uzingatie kwamba inakwenda kutatua changamoto kwenye Jamii. Wakati sie tukimwona mtu amevaa nguo chakavu na viatu ili mradi tunamsikitikia wenzetu Wachina wanakuja na product ya bei nafuu mno (fake) ambayo yule mtu anaweza akaimudu naye akavaa viatu ama nguo kama wengine.

Ndo na hapa ulivyosema watu hawaangalii madhara huku Mchina tayari kaishasoma akili za watu (hasa Waafrika) kuhusu iPhone, anaingia chimbo anawatolea kitu cheap kukidhi mahitaji ya nyoyo za wapenda sifa ambazo sio zao na bahati mbaya hizo simu hata kiwanda chake hakijulikani hivyo uwezekano zikawa na madhara ni mkubwa zaidi na ukute zinaingia kama toy za watoto.
China sheria inawabana kuzizalisha na kuuza kwao. For export only!
 
Hivi vikopi huwa naviona kwa watoto wa chuo,Afrika tuna ujinga wa kiwango cha PhD.
Hatujali kuhusu madhala,cha msingi tuonekane na tuna iphone 16 pro max
Kuna dogo nilimeet nae wa hapo UD. Akawa na simu mbili moja iPhone 11 na nyingine naona macho matatu hafu mbele ila kile ki-island kwenye kioo, so nikajua hii ni 14 Pro Max.

Ila nashangaa matumizi yote anatumia 11 kuanzia kupiga picha kuchat etc.

Sasa nikawa namuelekeza kuhusu kutumia iMessage, nikashangaa anasema tutumie hii 11, nikasema jaribu na humu itakua unyama.

Kushika ile 14PM aisee, ni Android tena zile cheap ziko slow inatumia Android 10 sijui yaani mara mia mtu ununue Android tu ya Laki 2 kuliko ayo makopi ya iPhone.

Tatizo bora wangeziweka ziwe fast, ziko slow na laggy kwasababu wanatumia SoC za zamani sana na Android version unakuta ya 2019.
 
Back
Top Bottom