iPhone 16 Promax (kopi ya Kichina) Tsh. 290,000 tu

Kuna mtu alinishangaa kwanini naziuza wakati mimi nina simu iphone toleo la zamani kabisa. Nikamwambia hizi ni za ma boss kama nyie basi alifurahi kweli akatoa hela akachukua.
Kumbe unazo copy unauza mzee babaπŸ˜‚ mnapiga hela sana wazee, mi mwenyewe nataka line ya kuzipata kwa bei ya kitonga from china niuze chap chap.
 
Kumbe unazo copy unauza mzee babaπŸ˜‚ mnapiga hela sana wazee, mi mwenyewe nataka line ya kuzipata kwa bei ya kitonga from china niuze chap chap.
So kwamba ndo naziuza official hapana, nikucheza na fursa tu. Watu si wanapenda waonekane matajiri, nina agiza china mizigo ile inayotoka kwa haraka ikiwemo iphone 16 pro max za laki 2🀣🀣.
 
Mjini akili mtu wangu
 
Mzigo inakaribia kwisha
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…