mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Hiyo siyo kila mtu anaweza fanya lakini ku update simu za iphone ambazo hawaja zitosa ni rahisi.Android achana nayo mkuu,update ukinyimwa na OEM bas lineage na wenzie wanakupa..samsung s2 sim ya 2011 inakula oreo via lineage os
Support ya apple ni bomba sana