INAUZWA Iphone 6plain inauzwa

Miaka miwili nyuma hizi simu zilikuwa adimu sana kuzishika.. siku hizi bei imeporomoka, wengi wamezikimbilia kisha wakaziona za kawaida kama samsung tu, ndo maana wanarudi kwenye laini 2 walizozoea
Mkuu wewe mtoto wa mfalme wa uarabuni umekutana nae wapi mpaka ukaipata hiyo simu yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…