General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Zama soko la pindou dou uchin ukadake kwa bei kitongaWakuu natumai nikwema huku tukiendelea na pilika za kujiandaa na msimu mpya wa Ligi yetu pendwa ya Mpira wa miguu.
Nende moja kwa moja kwenye mada kuwa wapi naweza pata IPHONE nzuri ya mtumba kuanzia 13 na kuendelea.
Ikiwemo gharama zake na hata uwezo wake.
N.B hizi simu hata kama watu wanaziponda ila ni simu flan ukiwa nayo mkononi watu hawaachi kuitazama zaidi ya mara moja.
Ntumie Location kakaZama soko la pindou dou uchin ukadake kwa bei kitonga
Bei mkuuWakuu natumai nikwema huku tukiendelea na pilika za kujiandaa na msimu mpya wa Ligi yetu pendwa ya Mpira wa miguu.
Nende moja kwa moja kwenye mada kuwa wapi naweza pata IPHONE nzuri ya mtumba kuanzia 13 na kuendelea.
Ikiwemo gharama zake na hata uwezo wake.
N.B hizi simu hata kama watu wanaziponda ila ni simu flan ukiwa nayo mkononi watu hawaachi kuitazama zaidi ya mara moja.
Location ya soko au ,nimesema nunua kupitia chinese local market inaitwa pindou ukae humoNtumie Location kaka
Okay broo wanguLocation ya soko au ,nimesema nunua kupitia chinese local market inaitwa pindou ukae humo