Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema hivyo kwani tulilala wote?Mbona umewahi kuamka hivyo
Haaaaa Haaaaa kama kawaida yakoUnasema hivyo kwani tulilala wote?
True..Watumiaji wengi wa iPhone ni wale wafuata mkumbo. Pia ni wambeambea sana alafu ushamba mwingi.
Sio wote ila ni zaidi ya 75%ndivyo walivyo
True..
Mtu ananunua iPhone 6s ya 2015 kwa 370k na simu haikai mfukoni,kazi kuishikilia tu ili watu waione na anaona wenye simu kama Samsung galaxy A50 hawamuambii kitu
daaah bado sana 😂😂😂😂Haahaa Hama huko
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Umeongea kwa machungu,1. hutaweza kusikiliza radio bila bando
3.Hakuna tundu la kuingiza earphone, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android ukinunua ear phonr unaitumia hapo hapo
3. andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yenye laini 2...
Ww3 inakujaWatumiaji wengi wa iPhone ni wale wafuata mkumbo. Pia ni wambeambea sana alafu ushamba mwingi.
Sio wote ila ni zaidi ya 75%ndivyo walivyo
Hizi ndio simu USA wenyewe mpaka wamepagawa na hii kampuniKitu Huawei banah hutajuta na majuto yote hayo
1. hutaweza kusikiliza radio bila bando
3.Hakuna tundu la kuingiza earphone, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android ukinunua ear phonr unaitumia hapo hapo
3. andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yenye laini 2..../QUOTE]Shida zote za nini, unakua na simu mbili android tena Huawei na iPhone basi unakua unainjoi tu, tatizo boss
Acha kufananisha Oppo, Huawei na Infinix, Tecno. Ni vitu tofauti kabisa, top flagships za kuanzia 2018 mpaka leo hutokaa uone Infinix.tecno uongo tumia ata samsung wewe na kuna na ndugu zake tecno wana fanya poa kuliko tecno.. huawei,oppo na infinix