iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...


unazijua android za $1000 uliishaishika ukaona inafananaje!!!!

acheni unazi bana,embu kachukue flagship ya samsung 2016 s7 edge niambie inafanana na simu ipi ya android??

mfano uliotoa hapo haulingani hata kidogo,umeringaniaha mbingu na ardhi,hizo ni simu sio sawa hata kidogo,kuanzia nguvu,camera,upana na ubora wa kioo mpaka uimara.

apple wanachofanya ni kucheza na akili za wateja tu wao wakifanya baishara,kwamba tutoe simu mbili moja iwe nyekundu bei iwe juu,na nyeusi na nueupe bei ziwe ndogo.
 
Kifungu cha tano hapo.Muhamishia simu kwa PC ni rahisi na unatumia Itune.Asante
Sio rahisi ukilinganisha na android ambayo ukichimeka tu cable unahamisha mafaili fasta tu kama vile umechomeka flashi.

Huko iphones kila computer ambayo haina itunes unayotaka kuhamishia mafail hutaweza kuhamisha kitu mpaka uingize program hio ya itunes, ni shughuli pevu kiukweli

Nakumbuka chuoni watu wenye iphones ilibidi wawe wanabeba flash kuprint assignment zao maana stationery walikuwa hawataki habari za itunes, sisi na android zetu tulizigeuza ziwe multi purpose tunatunza vitu na kuvihamisha kirahisi
 
Na makumpuni mengi ya simu yanamuiga apple kafanya nini ndipo nayo yatoe matoleo mapya.
Apple anakwenda na wakati ujao.
Be blessed
wamuige apple kwa kipi wakati iphones ina mapungufu kibao 😂😂 unataka waige kuuza simu bila charger na earphones yani simu inakuja kivyake tu 😂😂 ama kweli apple anagonga faida, yani chaja utanunua wewe, earphonea wewe na ukitaka kutumua earphones za waya hapo bado ununue adapter zao 😂😂, mwenye mapungufu haigwi
 
Mtoa mada unatumia simu gani na je huwa unafwatilia matoleo mapya (latest) ya simu mbalimbali?
 
Hiyo android haina jina nijibu na hilo nililokuuliza kama huwa unafwatilia matoleo mapya ya simu mbalimbali
Ukijibu lengo langu ndio utalipata
Mkuu umeshindwa kuelewa hata kichqa cha habari ya hii post? Hebu tafuta hata mtu wa karibu yako akueleweshe lengo la huu uzi.

Kiufupi huu uzi unawakilisha simu za ndroid zote duniani, wewe sema unachotaka kisha ntafanya reference kwenye simi yoyote ya Android hata kama imetoka jana.

Kwani shida nini 😁😁
 
Kwa kifupi hijielewi
 
Hizi ni siasa tu haujaongea fact yoyote ya technology
 
Siafiki suala lako la kutoa earphone ni suala la kujielewa..hyo ni marketing purpose makampuni yapige pesa za earbuds
 
Siafiki suala lako la kutoa earphone ni suala la kujielewa..hyo ni marketing purpose makampuni yapige pesa za earbuds

hawaelewi hawa ni miongoni mwa wale wanaosuport apple kuambatanisha charger kisa box litakuwa kubwa sana[emoji16][emoji16][emoji16]
 

Samsung wameshaiga na hilo kama hujui,ishatangazwa kuwa na wao wataacha kutoa charger.Inaonyesha wewe sio mfuatiliaji umeamua tu kuongea vitu ambavyo hata huvijui. Source: Samsung to stop bundling chargers with phones next year, report says
 

Huwezi kuwakilisha android zote duniani wakati zina features na specifications tofauti kabisa. Mtu anayetumia Tecno au Samsung ndogo hizi hawezi kufanana na anayetumia Samsung,Sony au LG flagships eti kisa ni android zote sababu hata android zenyewe versions zake pamoja na UI zake zipo tofauti kulingana na hadhi ya simu unayoitumia.
 
Siafiki suala lako la kutoa earphone ni suala la kujielewa..hyo ni marketing purpose makampuni yapige pesa za earbuds

Either way ndiko technologia inapoelekea. Ukiangalia wataalamu wengi wa muziki wanamove past earphones especially hii 2.5mm
 
hawaelewi hawa ni miongoni mwa wale wanaosuport apple kuambatanisha charger kisa box litakuwa kubwa sana[emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23]hili ni jambo la kijinga sana apple wamefanya ila niamini miaka miwili ijayo, sim zingine nazo zitaanza kuja na mabox madogo.
Only iPhone has the Balls to initiate such bold move
 

Mkuu ukiacha ushabiki ingia fanya research. Utagundua sim zingine zimeiga vitu vingapi kutoka apple. Kuwa na mapungufu haimaanishi kwamba huwezi kuwa mfano. Kuna mambo mengi hasa kwenye pattern na patent android nyingi zinakopi kutoka iphone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…