Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Iphone inafanya multistaking na ilianza kuwa pure multi tasking kuanzia iOS 7 kabla ya hapo haikuwa pure multi-tasking. Namshangaa kwa kusema iphone haifanyi multi-tasking huenda simu ya mwisho ya iphone kutumia ilikuwa labda iphone 5.Sasa hapo unamshangaa nini????[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona kama unakazia ukweli kuwa haiwezi kufanya Multi task
Nilichoendelea kuandika hapo chini nilikuwa naongea malalamiko yake mengine kama ya ring tones n.k hayo yanawezekana pia kufanyika kwa mtu anayejua kucheza na iphone ila mtu akifanya hayo nitamshangaa kwanini apoteze muda kununua iPhone wakati anataka kufanya customization, si bora tu arudi android maana iPhone haijatengenezwa ikilenga waumiaji wanaotaka hicho.