iPhone SE toleo la 3 inategemewa itatoka mwaka 2022 mwanzoni

iPhone SE toleo la 3 inategemewa itatoka mwaka 2022 mwanzoni

Mtu ambaye hajawahi kutumia iPhone hawezi kujua aseme nini. Anachojua yeye ni kuwa iPhone ni bei kubwa. Hakuna kitu kingine anajua.

Sumsung, Google, LG, Oppo, Huawei, hTC, na zingine nyingi ni tofauti ya majina na brand tu lakini a simple fact ni kuwa zooote ni ANDROID.

Appe software ni habari nyingine ambayo asiyejua ndio anaweza kusema bei kubwa. Bei kubwa kulinganisha na nini?

*Apple Software (iOS).
 
View attachment 2018018iPhone SE toleo la 3 inategemewa itatoka mwaka 2022 mwanzoni na itakuwa na chip mpya ya iPhone.

Apple imeamua kuchukua hatua ya kusitisha design ya iPhone mimi na kuweka focus katika iPhone SE mpya ambayo itakuwa na chip ya A15 Bionic (chip inayotumika katika iPhone 13).

Apple inalenga soko la chini kwa kutoa iPhone SE ambayo ni toleo la bei nafuu lakini inakuwa na Chip kubwa (best chip kwenye market), Kioo cha kawaida (itakuwa LCD) ; itakuwa na uwezo wa 5G.

iPhone SE ya 2022 itakuwa maalum kutoa soko la iPhone XR na iPhone 11. Itakuwa na design ya iPhone za zamani na Touch ID katika Home Button.

Inategemewa itakuwa na gharama chini ya laki 9.

Je, Apple itafanikiwa kulenga soko la simu za bei ya chini?
Hii design ya toka 2015 tumeichoka, hope waje na design mpya au hata punch hole na touch ID kama ile ya iPad sehemu ya kuwashia simu
 
Mtu ambaye hajawahi kutumia iPhone hawezi kujua aseme nini. Anachojua yeye ni kuwa iPhone ni bei kubwa. Hakuna kitu kingine anajua.

Sumsung, Google, LG, Oppo, Huawei, hTC, na zingine nyingi ni tofauti ya majina na brand tu lakini a simple fact ni kuwa zooote ni ANDROID.

Appe software ni habari nyingine ambayo asiyejua ndio anaweza kusema bei kubwa. Bei kubwa kulinganisha na nini?
Iphone bei kubwa kulinganisha na Android gani ndugu Isheep?
 
Hii design ya toka 2015 tumeichoka, hope waje na design mpya au hata punch hole na touch ID kama ile ya iPad sehemu ya kuwashia simu
Huenda watalifanyia marekebisho hilo.
 
Mtu ambaye hajawahi kutumia iPhone hawezi kujua aseme nini. Anachojua yeye ni kuwa iPhone ni bei kubwa. Hakuna kitu kingine anajua.

Sumsung, Google, LG, Oppo, Huawei, hTC, na zingine nyingi ni tofauti ya majina na brand tu lakini a simple fact ni kuwa zooote ni ANDROID.

Appe software ni habari nyingine ambayo asiyejua ndio anaweza kusema bei kubwa. Bei kubwa kulinganisha na nini?
Duh ngoja wamiliki wa Android waje kukupinga.
 
Back
Top Bottom