Phone4Sale Iphone Xs Max 256Gb Double line

Phone4Sale Iphone Xs Max 256Gb Double line

Iphone hawana hilo toleo Mkuu

Mkuu hadi leo hujui kama IPhone zipo line mbili?

Kwa taarifa tu, iphone dual sim zinapatikana soko la China, Hong Kong na Makau

Kwa taarifa zaidi soma hapa...

 
Face ID imelala?

Simu haijabadilishwa logic board kweli?

Maana Face Id iko paired na logic board mtu akibadili tu logic board face ID haiwezi fanya kazi.
Hapana tatizo la Apple lipo kwenye Updates zao huwa ndio zinaharibu simu ilikuwa safi kabisa na Face Id na BH ilikuwa inasoma frsh [emoji817] nilipo Update tuuu shida ikaanzia hapo
 
Mkuu hadi leo hujui kama IPhone zipo line mbili?

Kwa taarifa tu, iphone dual sim zinapatikana soko la China, Hong Kong na Makau

Kwa taarifa zaidi soma hapa...

Huwezi amini mimi ndio najua leo kwenye huu uzi kwamba iphone wana simu zinatumia laini mbili...
 
Huwezi amini mimi ndio najua leo kwenye huu uzi kwamba iphone wana simu zinatumia laini mbili...

Zipo mkuu na 100% authentic

Pitia hapa page ya Apple for further info


Cheers
 
Back
Top Bottom