The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
China kulikua na Iphone nyingi kuliko nchi yoyote Duniani ila sasa Iphone inapoteza nafasi ya kua simu namba moja China.
Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa makampuni ya China kama Huawei, One Plus, Oppo, Honor, TCL, ZTE na kadhalika.
Wengi walioulizwa kwa nini wanahamia Huawei walidai Iphone bei ghali halafu inakosa vitu vingi ambavyo vinapatikana kwenye simu nyingine kama fast charging, multiple cameras na kadhalika.
Wachina naona wameamua kuwekeza kwao.
Apple is no longer China’s biggest smartphone brand
Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa makampuni ya China kama Huawei, One Plus, Oppo, Honor, TCL, ZTE na kadhalika.
Wengi walioulizwa kwa nini wanahamia Huawei walidai Iphone bei ghali halafu inakosa vitu vingi ambavyo vinapatikana kwenye simu nyingine kama fast charging, multiple cameras na kadhalika.
Wachina naona wameamua kuwekeza kwao.
Apple is no longer China’s biggest smartphone brand