iPhone za Makumbusho zina nini?

Hamna iPhone Feki? rudia tena nikuskie...

usiongee kwa sauti watu wasikuskie...

Mchina sio mtu mzuri narudia tena Mchina sio mtu mzuri.
Hizo sio iPhone ni android zenye housing ya iPhone..

Tofauti na Samsung feki, inakua inaelekeana na Samsung original kwa kila kitu kuanzia housing hadi OS.

Ndio maana unaambiwa hakuna iPhone feki, ila kuna Android zenye housing ya iPhone.
 
Hizo sio iPhone ni android zenye housing ya iPhone..

Tofauti na Samsung feki, inakua inaelekeana na Samsung original kwa kila kitu kuanzia housing hadi OS.

Ndio maana unaambiwa hakuna iPhone feki, ila kuna Android zenye housing ya iPhone.
sawa
 
Unapaikana wapi nikupe kesho 450k

Apo fixed kaka..uliza bei za 128gb..n btw io simu nimenunua full boxed kwaiyo haina wasiwasi kbsa..haina miezi 3 tangu niinunue..kama mzoefu wa bei za i phone nadhani utaelewa
 
Ndoto ni kumiliki iphone??... Iyo nayo ni ndoto nan? Aliye waroga!!!!!!!!
 
Makumbusho huko ni refurbished,,mixer second hand..kingine hakuna iPhone fake

Nenda Apple store Mlimani City,bei zimechangamka kuliko kawaida..wewe si umesema unataka original??,,sogea hapo
Fake zipo tena nyingi. Nimetumia iPhone fake mwaka jana
 
Nunua popote acha kusikiliza maneno ya watu hata huko kariakoo simu fake zipo kibao tu. Iphone 📱 fake ni rahisi sana kuitambua hilo nalo inabidi uwe nalo kichwani.
 
iPhone zinawafaa mabitozi wapenda madanga
 
Nenda Kariakoo China Plaza, kuna maduka mengi ya IPhone original kama Punga phone na mengine mengi tu, utapata IPhone X, IPhone XS, IPhone XSM na matoleo mengine ya kisasa ZAIDI, achana na used au fake utapoteza pesa yako bure
China Plaza inapumulia mashine wamebaki jamaa wa TECNo na Oraimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…