Nasikitika
Member
- Sep 11, 2021
- 22
- 16
- Thread starter
-
- #21
Yaan naumia sana kwa sisi wavulana/wanaume kuona wadada zetu hawawezi kujitegemea mpaka now tuna wadharirisha mitandaoni π ili sio vizur na aileti picha nzuri katika jamii serious.
Please tuache hii tabia. Na pia wakina dada msijirahisishe sana ni ushauri tu. Note ushauri unaweza kuhufata au unaachana nao ni maana ni ushauri tuh..
[/QUOTES π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dhambi hizi jomoneeeh lol.Kuna mwingine mahux anssoma chuo x bagamoyo kaliwa kwa mparange wiki nzima lodge kwa madai ya kupewa iphone 12 ,cha ajabu jamaa kamkabidhi simu ipromax 12 ya kichina yenye android ...jamaa kazima na cm kapotea demu mpk sasa hana hamu kbs ,yupo yupo tu ,Tamaa zinawapeleka kubaya sana
sent from HUAWEI
Sasa umeshakuwa ntu nzimaSijui mimi ni bahili? Yaani hata nipewe bure naiuza nanunua simu ya laki 3 au 4. Ati 3m zote nizishike mkononi? Nina mambo mengi ya kufanya huo ni upuuzi, mtu anaishi chumba kimoja cha kupanga mkononi ana simu ya mil3? Upuuzi.
Una akili sana [emoji1787]Juzi kuna mmoja aliniambia anajichanga anunue iPhone na mimi nimuongezee kiasi cha pesa nikakwambia aende kwa baba yake
Poleeeeh[emoji17]
Bora angekubali HUAWEI yako!!!sent from HUAWEI