Ipi bora kati ya medical assistant na clinical assistant namba mnijuze wakuu?

Sheko

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
280
Reaction score
26
Wakuu naomba mnijuze kati ya medical assistant na clinical assistant ipi bora interm katika maslahi ili niweze kusomea kati ya hizo mbili naombeni mnijuze wakuu?
 
Clinicle officer ndo medical assistant mdogo wangu. Zamani kulikuwa na RMA yaani rural medical aid na medical assistant then wakafuta hiyo rma ambayo ilikuwa certificate na kufanya diploma ambayo ilibadirika toka medical assistant kuwa CO.
 
 
What,nyundo
clinicle officer ndo medical assistant mdogo wangu. Zamani kulikuwa na rma yaani rural medical aid na medical assistant then wakafuta hiyo rma ambayo ilikuwa certificate na kufanya diploma ambayo ilibadirika toka medical assistant kuwa co.
 
What,nyundo

mfumo wasasa umebadilika. unaitwa NTA level system.kuna level 4, 5 na 6.ukiingia chuo ukasoma level 4 na 5 unapata certificate ya clinical medicine. Na ukiongeza mwaka mmoja NTA level 6, unapata diploma inclinical medicine. Nakwasasa kuna baadhi ya vyuo vingi vikuu.ukiwa na NTA level 6, unaweza kuendelea na degree moja kwa moja.kwa maelezo zaidi ya haya nayosema tembelea tovuti ya nacte.(national council for technicaleducation)
 
Moja ni diploma(medical assistant au clinical officer kwa jina lingine) na nyingine ni certificate(clinical assistant).sasa chagua ya kusoma
Wakuu naomba mnijuze kati ya medical assistant na clinical assistant ipi bora interm katika maslahi ili niweze kusomea kati ya hizo mbili naombeni mnijuze wakuu?
 
usichanganyikiwe na majina. Mfumo wa elimu wa sasa uko katika levels mbali mbali on your way to chuo kikuu. Unaweza ukatoka o-level, kisha ukasoma NTA lavel 4 na NTA level 5 ukapata cheti cha clinical assistant(certificate), ukiongeza mwaka mmoja, unapata level NTA level 6 (diploma) and form hapo baadhi ya vyuo vingi vinapokea diploma in clinical medicine award (NTA level 6) kama entry qualification ya degree in medicine. Kazi kwako.kama umepata nafasi ya kusoma certificate, soma haraka na usipoteze muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…