Ipi bora? Lipa namba ya CRDB/NMB au Lipa ya Vodacom/tigo?

Ipi bora? Lipa namba ya CRDB/NMB au Lipa ya Vodacom/tigo?

Lipa nzuri kwa mfanyabiasha ni ya voda. Unapokuwa unaitoa hela yako kutoka kwenye lain yako ya lipa huwa haina Makato. Kwa siku unatakiwa ufanye muamala mmoja.
Lipa ya tigo huwa Ina Makato kuanzia 200000 -499999 wanakato 500, kuanzia laki 5 Makato yanapanda kwa kasi.
Ila ni vizuri uwe na lipa ya voda na tigo. Kwasababu mtu wa tigo akilipa kwenda voda Makato yake ni makubwa sana kwahyo wateja watalalamika, pia mtu wa voda hawez kulipa kwenda tigo.
 
Lipa nzuri kwa mfanyabiasha ni ya voda. Unapokuwa unaitoa hela yako kutoka kwenye lain yako ya lipa huwa haina Makato. Kwa siku unatakiwa ufanye muamala mmoja.
Lipa ya tigo huwa Ina Makato kuanzia 200000 -499999 wanakato 500, kuanzia laki 5 Makato yanapanda kwa kasi.
Ila ni vizuri uwe na lipa ya voda na tigo. Kwasababu mtu wa tigo akilipa kwenda voda Makato yake ni makubwa sana kwahyo wateja watalalamika, pia mtu wa voda hawez kulipa kwenda tigo.
Unaweza bhana
 
Nielimisheni, lipa namba ya nmb ikoje?
Siijui sijawahi kuiona wala kutumia, nnayo ya voda na airtel nazo sahivi nimeacha kuzitumia kwasababu nikitoa pesa kwenye lipa nakatwa.
 
Back
Top Bottom