Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana jamvi heshima kwenu, naomba kujuzwa dawa ya VISUNZUA ili kuviondoa utumie dawa gani? Karibuni mkuu MZIZI MKAVU na wengine.
Nitafute inbox tu, huhitaji hata kwenda pharmacy kwa tatizo hilo.
Ahsante mkuu, ntafanya hivyo. Inaondoa kabisa hiyo mkuu?Caustic pencil inapatikana pharmacy watakuelekeza matumizi yake hapo utakaponunua
Ahsante mkuu, ntafanya hivyo. Inaondoa kabisa hiyo mkuu?
Au navichanganya maana ninavyovijua mimi ni zile zinakuwa kama vipele vilivyokomaa haviminyiki wala havijatunaWakati flani nlienda pale muhimbili nikakutana na dr bingwa wa ngozi nikamuuliza kuhusiana.na hivi vinyama ambavyo alinambia viniatwa skin tag. Alisema havina madhara vikikatwa. Mtaani huwa wansema wanavifunga uzi mpaka vikatike.
Habari wana jamvi heshima kwenu, naomba kujuzwa dawa ya VISUNZUA ili kuviondoa utumie dawa gani? Karibuni mkuu MZIZI MKAVU na wengine.
Tumia kwa uangalifu sana inaunguza isije kukuachia majeraha. .Ahsante mkuu, ntafanya hivyo. Inaondoa kabisa hiyo mkuu?
vile vya zitto au Wasira pia vinawezakufungwa nyuzi?Wakati flani nlienda pale muhimbili nikakutana na dr bingwa wa ngozi nikamuuliza kuhusiana.na hivi vinyama ambavyo alinambia viniatwa skin tag. Alisema havina madhara vikikatwa. Mtaani huwa wansema wanavifunga uzi mpaka vikatike.
vipi kuhusu vile vinaota pembeni mwa macho? sio vikubwa kama hivyo! dawa yake niniCastor Oil & Baking Soda
This is an easy skin tag removal method. Mix baking soda and castor oil and form a thick paste. Apply this paste on the skin tag and cover it. Leave it for a night. Wash it with warm water, the next morning. Repeat this process for about 10 days until the tag totally vanishes.
View attachment 453154
Tumia dawa niliyoweka hapo juu.vipi kuhusu vile vinaota pembeni mwa macho? sio vikubwa kama hivyo! dawa yake nini
Mkuu MziziMkavu dawa haitaunguza hii? Au kuwa kali? Anatakiwa atumie kiasi gani kwenye affected area? Maana wengine wana ngozi laini isije ikawa shida.Castor Oil & Baking Soda
This is an easy skin tag removal method. Mix baking soda and castor oil and form a thick paste. Apply this paste on the skin tag and cover it. Leave it for a night. Wash it with warm water, the next morning. Repeat this process for about 10 days until the tag totally vanishes.
View attachment 453154