Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea
Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand escudo ipo chini kidogo ukilinganisha na prado
Kwa utashi wangu nimezirank kama ifuatavyo
1. Suzuki grand escudo
2. Toyota prado
3. Toyota kluger
Mimi napenda sana gari yenye back tire
Karibuni kwa ushauri wakuu
Landcruser Prado ya mwaka 1998
Guta tu ndiyo mpango mzima.
Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea
Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand escudo ipo chini kidogo ukilinganisha na prado
Kwa utashi wangu nimezirank kama ifuatavyo
1. Suzuki grand escudo
2. Toyota prado
3. Toyota kluger
Mimi napenda sana gari yenye back tire
Karibuni kwa ushauri wakuu
Hivi suzuki grand vitara ni sawa na suzuki grand escudo? Mimi huwa naziona grand escudo, sijawahi ona grand vitaraNimeendesha gari nyingi sana ila bahati mbaya sina experience na Suzuki Grand Vitarw, ingawa kwa haraka naweza kuifananisha na Rav4 Kili Time!
Kluger ni nzuri sana ingawa haina back up tyre!
Prado iko poa sana ingawa tatizo lake kubwa ni kuchomoka ball joints, ingawa huwa hazichomoki ukiwa kwny hi speed!
umesahau kimoja mkuu, escudo ni cc 2000 wakati prado ni kati ya 2400 hadi 4000.
halafu hio prado hujasema model ipi zipo nyingi sana.
though kwa offroading prado iko vizuri maana iko juu, japo pia zile zx, landcruiser 2, pamoja na ile model ya prado za mwanzo ni very easy ku overturn kwenye speed ama kwenye kona.
umesahau kimoja mkuu, escudo ni cc 2000 wakati prado ni kati ya 2400 hadi 4000.
halafu hio prado hujasema model ipi zipo nyingi sana.
though kwa offroading prado iko vizuri maana iko juu, japo pia zile zx, landcruiser 2, pamoja na ile model ya prado za mwanzo ni very easy ku overturn kwenye speed ama kwenye kona.
Sijajua kwa nini, ila mafundi wa Toyota Tanzania Limited, walinishauri nisinunue prado za Diesel... Sifahamu kama ilikuwa specific kwa model yangu au la...Prado Heshima! Kama una mpunga vuta moja. Tena ukifanikiwa kupata ya diesel yenye turbo, utakuwa umeukata! Ila angalia zina tabia ya kuchomoka tairi!