Samawia
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 592
- 462
Nipeni msaada Wakongwe kwenye masuala ya magari,ipi ni gari imara na spare za bei nafuu pamoja na ulaji kidogo wa mafuta kuliko kuliko nyingine? Pamoja na sifa zingine za ziada, navunja kibubu changu mwezi June 30 nataka ninunue mojawapo ya hizo gari mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app