Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Hii ni kama model mpya mkuu ila sina uhakika miaHII NI TOLEO LA MWAKA GANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kama model mpya mkuu ila sina uhakika miaHII NI TOLEO LA MWAKA GANI
Bei zake zikoje mkuuNunua Toyota Cami au Terios cc 650 hutajutia matumizi ya mafuta na safari za mbali utaenda bila shida.
Rav4 J sio kabisa, hizo gari ni za kwenye lami tu....lkn sisi wengine root zetu hadi rough road na miinuko hazitufai kabisa...inaAccerelate sana lkn nguvu ya kupnda mlima wa vumbi zero kabisa.
bora harrier au kluger.
kuna watu mnajua kushauri khaaBro we nunua tu Canter itakufaa sana. Ndani ya miaka 2 utapata gari nyingine kupitia Canter endapo ukiwa unafanya Saving.
Umenichekesha sana, matako ya bibi ndo ipoje hii?utaje na toleo la mwaka gani maana kuna rav4 j matako ya bibi na kili time
hahahha [emoji23][emoji28][emoji23] toleo za 2001-2004 ss sijui ndo mat*ko ya bibi sijui kwakweli...utaje na toleo la mwaka gani maana kuna rav4 j matako ya bibi na kili time