Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua trekta utanishukuru.Wazee,
Ushauri unahitajika. Karibuni.
Nasikia Subaru Impreza zinasumbua engine, ni kweli?
Hii gari aise sjui naionajeKamata Rumion
premio ina shida gan mpka achukue vits?Haya ndio yakuongoze katika ununuzi wa gari.
Matumizi ya gari mfano kwenda kazin na kurudi chap barabara ikiwa rafiki chukua hata ki vitz achana na stress
Kipato chako.
Mahala unapo kaa kwa maana ya upitikaji wa barabara
Urahisi wa kulihudumia kwamaana ya upatikanaji wa mafundi na spares
Premio ni ghalipremio ina shida gan mpka achukue vits?
Running cost au purchase value?Premio ni ghali
Ata mimi huwa siielewi kivile lakini kwa zilizotajwa naona Ina unafuuHii gari aise sjui naionaje
Chief wewe huoni tofauti ?premio ina shida gan mpka achukue vitz
Ukubwa wa engine zpo zote za kuanzia 1490ccChief wewe huoni tofauti ?
hata kwa muonekano, gharama za ununuzi, ukubwa wa engine, etc
Au wewe unanunua sababu ya ushabiki na kuvimba kwa jamaa zako
Vitz ipo ya cc 990 piaUkubwa wa engine zpo zote za kuanzia 1490cc
Gharama ya ununuzi hazijapishana sana
Muonekano ipo vzuri sana
Nakafahamu kapo vizuriVitz ipo ya cc 990 pia
Yes mkuu kapo friendly sanaNakafahamu kapo vizuri
Sema hakamwagi motoo mwingii highway kma li crownYes mkuu kapo friendly sana
Kaka ukimwaga moto uwe nazo mfukoni ...Sema hakamwagi motoo mwingii highway kma li crown