Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shamo tower mbezi au kibo complex...
Hamna kitu hapo.
Zote hizo nimeshawahi kwenda kuziangalia na sikuvutiwa kabisa.
Hapo Shamo niliwauliza wale ma personal trainers kuhusu flat bench wao wakawa wananionyesha decline bench.
Ufahamu wao ni mdogo sana na hata vifaa vyao viko limited.
Nadhani Dar nzima hakuna gym nzuri iliyokamilika.
Kuna gym mpya Ledger Plaza....unaifahamu?
Hapana.
Imefunguliwa lini?
Ni nzuri? Wewe ushaenda?
LA Fitness karibiy na Leaders club
You can't be serious.
Kuna uhaba wa gym dar.
Naomba location za gym pande za posta dar
ukipiga chuma sana nguvu za 6 kwa 6 nazo zinapungua eti??
UongoUkipiga Chuma lazima ukaze mku.ndu
ukiwa unapiga Chuma kwa mda mrefu razima mku.ndu ukaze kwa muda mrefu mwisho wa siku mku.ndu unalegea na ukilegea tuu ushakosa nguvu