Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?

Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?

Mr. Sound

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
2,227
Reaction score
4,773
Salaam,

Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.

1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.

2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.
 
Salaam,

Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.

1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.

2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.
Alituma text
Nikwambie kitu..........

Nikmuwahi fastaaa >settings>sms&call >blacklist
 
Salaam,

Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.

1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.

2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.
1.Tulifikia hatua ya posa kabisa ila alipoonyesha dharau kwa washenga, nikatoka nduki. (Maswala ya mila na tamaduni zao ilikuwa sababu )

2. Alianza kutongozana na Baba angu mdogo. Nikaona isiwe kesi nikazima data.

3. Dharau tu, miadi ya saa 7 yeye anafika saa9 pasina kutoa udhuru.

(Nikajipatia mhehe wangu mshamba mshamba nikaweka ndani. Nakula raha za elimu akhera)
 
Mimi nilishaachwa, kuacha, na kuachanishwa. Kwenye kuachwa mara ya kwanza ilikuwa ni sababu ya umaskini. Kuna wakati baada ya kumaliza chuo nilivurugwa na maisha nikawa sina ajira, biashara wala chanzo chochote cha pesa. Kimsingi nilikuwa ninanuka umaskini. Nakumbuka kuna wiki fulani nilikuwa nakula kwenye makambi ya wasabato kwa sababu hali ilikuwa tete. Mungu awabariki sana hawa watu wa Mungu.

Kwenye kuacha sababu kuu ni vizinga na kudanganywa kuwa ni bikra. Nakumbuka alitegea siku anaingia hedhi anipe mchezo ili amalize kesi yake ila alikosea kidogo sana mwanzoni kwa kuropoka kuwa hiyo siku anaingia hedhi. Nikajiuliza kwanini huyu manzi leo ndo anipe gemu wakati kila mara amekuwa mgumu? Sikufanya chochote maana pia hisia zilikata kabisa.

Kuachanishwa ni pale nilipopata mtu ninayempenda nikata nimuoe ila familia yake nzima hadi baadhi ya majirani wakakaa naye chini na kumwambia yule kijana hatuifahamu vizuri familia yake hivyo achana naye. Hii ilichangiwa na kuwa manzi kwao matajiri mno.
 
Back
Top Bottom