Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Eeh wenye mfumo dume ni Sababu kubwa!Anakwambia tutembee,wewe unataka usafiri!Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh wenye mfumo dume ni Sababu kubwa!Anakwambia tutembee,wewe unataka usafiri!Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
He Kumbe wewe ni Me!Mimi nilishaachwa, kuacha, na kuachanishwa. Kwenye kuachwa mara ya kwanza ilikuwa ni sababu ya umaskini. Kuna wakati baada ya kumaliza chuo nilivurugwa na maisha nikawa sina ajira, biashara wala chanzo chochote cha pesa. Kimsingi nilikuwa ninanuka umaskini. Nakumbuka kuna wiki fulani nilikuwa nakula kwenye makambi ya wasabato kwa sababu hali ilikuwa tete. Mungu awabariki sana hawa watu wa Mungu.
Kwenye kuacha sababu kuu ni vizinga na kudanganywa kuwa ni bikra. Nakumbuka alitegea siku anaingia hedhi anipe mchezo ili amalize kesi yake ila alikosea kidogo sana mwanzoni kwa kuropoka kuwa hiyo siku anaingia hedhi. Nikajiuliza kwanini huyu manzi leo ndo anipe gemu wakati kila mara amekuwa mgumu? Sikufanya chochote maana pia hisia zilikata kabisa.
Kuachanishwa ni pale nilipopata mtu ninayempenda nikata nimuoe ila familia yake nzima hadi baadhi ya majirani wakakaa naye chini na kumwambia yule kijana hatuifahamu vizuri familia yake hivyo achana naye. Hii ilichangiwa na kuwa manzi kwao matajiri mno.
Mamako hakukwambia?He Kumbe wewe ni Me!
Alikuwa anapita pita mara chache na ID yake ipo ila haijawahi kupost, kukoment chochote hadi sasa, na alifungua kwa jina lake halisi.Kwani na yeye amewahi kutumia hii jf??
Uko wapi nikupige juu!??akanipiga chini.....
Alikosea sana. Hizo ndio sifa za mwanamke umpendaye na kumjali sana.. MIMI NAPENDA KUDEKEWA😍Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
Leta kisa hicho mkuu.Kisa natumia jf, nitakuja na ichi kisa na sababu zake.
Hukutaka mambo yawe mengi.Alituma text
Nikwambie kitu..........
Nikmuwahi fastaaa >settings>sms&call >blacklist
Kwenye mapenz mtu akikudanganya, hasa kwenye mambo ya msingi hua ngumu sana kumuamini, na best option kwa wengi hua ni kujiweka kando.Sijaachwa mimi ndio nilimuacha sababu alinidanganya..
Upendo ni kitu cha thamani ukikutana na watu sahih bt hayana maana ukikutana na matapeli.1.Tulifikia hatua ya posa kabisa ila alipoonyesha dharau kwa washenga, nikatoka nduki. (Maswala ya mila na tamaduni zao ilikuwa sababu )
2. Alianza kutongozana na Baba angu mdogo. Nikaona isiwe kesi nikazima data.
3. Dharau tu, miadi ya saa 7 yeye anafika saa9 pasina kutoa udhuru.
(Nikajipatia mhehe wangu mshamba mshamba nikaweka ndani. Nakula raha za elimu akhera)
Walimwengu hajawah kupenda amaniWanadamu sio wazuri kabisa
Walipoona nafaidi penzi lake wakaamua wampe connection yangu.
Kwa sasa sim ndo inaongoza kuvunja mahusiano mengi.alipigiwa cm saa tisa usiku na mshikaji wake..,,,,
chanzo simu ndoa ikafikia tamati hakuami had leo
Pole mkuu, umaskini haufai kabisa.Mimi nilishaachwa, kuacha, na kuachanishwa. Kwenye kuachwa mara ya kwanza ilikuwa ni sababu ya umaskini. Kuna wakati baada ya kumaliza chuo nilivurugwa na maisha nikawa sina ajira, biashara wala chanzo chochote cha pesa. Kimsingi nilikuwa ninanuka umaskini. Nakumbuka kuna wiki fulani nilikuwa nakula kwenye makambi ya wasabato kwa sababu hali ilikuwa tete. Mungu awabariki sana hawa watu wa Mungu.
Pole sana mkuu, najua ulikua wakati mgumu sana kwako.Kifo.
Mwamba alifeli sana, ukipenda ujue kuna kuhudumia.Nilishiwa kodi, gas, simu ikavunjika kioo na nlitaka kusuka pia, eti kumuomba hela akanipiga chini.....
Hapo si Chini ya laki 5 kama uchumi wako ni mbovu hakuna cha ziada ni kutimua vumbiMwamba alifeli sana, ukipenda ujue kuna kuhudumia.
Kupiga nyeto/kataa ndoa hakukuepushi na ups & downs za maisha.Hapa wazee wa nyeto wanaondoka na point tatu muhimu afu team kataa ndoa ndio wanashangilia kwa vigelegele chaputa wakiwa wananyanyua makwapa
Laki 5 si pesa kama umependa, pia kama uchumi mbovu deal na wa size yako.Hapo si Chini ya laki 5 kama uchumi wako ni mbovu hakuna cha ziada ni kutimua vumbi