Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Alijua utatuletea mrejesho wa show 😂😂😂Ntaileta, humo ndani jf users tumepondwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijua utatuletea mrejesho wa show 😂😂😂Ntaileta, humo ndani jf users tumepondwa sana.
Hii aibu inakupunguzia nini kwenye maisha yako ya ufukara?Da aibu mwanaume kujiita mama
Pole sana njoo kwangu nikujazie gas mkuuNiliishiwa kodi, gas, simu ikavunjika kioo na nlitaka kusuka pia, eti kumuomba hela akanipiga chini.....
Pole sana 😂😂😂Mchumba ake mwingne, akamshinikiza aniache mie.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Utagongwa wewe fala unajiita mamaHii aibu inakupunguzia nini kwenye maisha yako ya ufukara?
Wee em sema kweli?Pole sana Cocastic. Finish to kiss those frogs kisha tuoane.
😂 hapana mkuuAlijua utatuletea mrejesho wa show 😂😂😂
Ahsanteee nishapoaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo haujapoa bado 😂Ahsanteee nishapoaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mwenyewe gas tupu 😹Pole sana njoo kwangu nikujazie gas mkuu
Basi nikulipie pango, au njoo ujihifadhi kwangu kwa mudaWe mwenyewe gas tupu 😹
Ntumie nauli nakujaBasi nikulipie pango, au njoo ujihifadhi kwangu kwa muda
Taja namba chapNtumie nauli nakuja
Weeh nawe mpana khaaa!! 😹Alikudanganya nini?
Tena mimi sigeuki nyuma mwendo wa ngiriKwenye mapenz mtu akikudanganya, hasa kwenye mambo ya msingi hua ngumu sana kumuamini, na best option kwa wengi hua ni kujiweka kando.
Ila umbea wa wenzenu mnapenda 🤣Weeh nawe mpana khaaa!! 😹