Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,549
Reaction score
4,133
Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo
Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16
Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi nyuma...
Nichambulieni ipi itakuwa zaidi ya mwenzake
 
Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo
Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16
Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi nyuma...
Nichambulieni ipi itakuwa zaidi ya mwenzake
Kwa price point ya 350k kushuka hakuna simu yoyote inayokaribia redmi 10C.

Highlight ya hio simu ni snapdragon 680 ambayo ni soc nzuri sana kwa hio bei, na storage za ufs ambazo hutumika kwenye simu za Bei ghali.

Pia ukitumia Gcam camera ni nzuri, main camera ni sawa na wakubwa wake kama Redmi note 11,

Weakness kubwa ni display yake ni HD kawaida yaani 720p, wakati redmi 9 ilikuwa 1080p yaani FHD.

Kama unaweza ishi na kioo cha kawaida ni simu nzuri sana. Competition kwa simu kama hii wanauza laki 4 kupanda, mfano Samsung A23.
 
Kwa price point ya 350k kushuka hakuna simu yoyote inayokaribia redmi 10C.

Highlight ya hio simu ni snapdragon 680 ambayo ni soc nzuri sana kwa hio bei, na storage za ufs ambazo hutumika kwenye simu za Bei ghali.

Pia ukitumia Gcam camera ni nzuri, main camera ni sawa na wakubwa wake kama Redmi note 11,

Weakness kubwa ni display yake ni HD kawaida yaani 720p, wakati redmi 9 ilikuwa 1080p yaani FHD.

Kama unaweza ishi na kioo cha kawaida ni simu nzuri sana. Competition kwa simu kama hii wanauza laki 4 kupanda, mfano Samsung A23.
Nashukuru kumbe nashindanisha 10c na simu ndogo .
Niongeze hapo...
Hizi simu zina soma mmc mwisho ngapi? Maana zamani walikuwa wanaandika mwisho 64Gb au 32Gb.
Hizi ambazo hawajaandika hazina kikomo?
 
Kwa price point ya 350k kushuka hakuna simu yoyote inayokaribia redmi 10C.

Highlight ya hio simu ni snapdragon 680 ambayo ni soc nzuri sana kwa hio bei, na storage za ufs ambazo hutumika kwenye simu za Bei ghali.

Pia ukitumia Gcam camera ni nzuri, main camera ni sawa na wakubwa wake kama Redmi note 11,

Weakness kubwa ni display yake ni HD kawaida yaani 720p, wakati redmi 9 ilikuwa 1080p yaani FHD.

Kama unaweza ishi na kioo cha kawaida ni simu nzuri sana. Competition kwa simu kama hii wanauza laki 4 kupanda, mfano Samsung A23.
Nimeona Bora nipande mkuu nilipata note 11 4Gb/128 Kwa 480
Chief-Mkwawa
 
Unanunuaje simu laki Saba wee una ishu za kufanya
 
Simu tajwa hapo juu zimenivutia maana naona kama zina spec sawa ila zinaachana padogo dogo
Redmi nimeipendea camera 50mp oppo 16
Oppo tena nimeipendea yeye ana finger sensor ya pembeni Redmi nyuma...
Nichambulieni ipi itakuwa zaidi ya mwenzake
Umetumia kigezo gani ku compare hizo simu mbili

Ni sawa na ku compare tecno f1 na Nokia 2.1 just because specs zake zinafanana camera 8mp, ram 1gb, rom 8gb..pamoja na kufanana vitu basic ambavyo ndo wengi huangalia ila hizo ni simu mbili tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom