Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

Ipi imekaa njema oppo a16 na Redmi 10c

Umetumia kigezo gani ku compare hizo simu mbili

Ni sawa na ku compare tecno f1 na Nokia 2.1 just because specs zake zinafanana camera 8mp, ram 1gb, rom 8gb..pamoja na kufanana vitu basic ambavyo ndo wengi huangalia ila hizo ni simu mbili tofauti kabisa
Zote niliona miyeyusho nikachukua mi note 11
 
Kwa price point ya 350k kushuka hakuna simu yoyote inayokaribia redmi 10C.

Highlight ya hio simu ni snapdragon 680 ambayo ni soc nzuri sana kwa hio bei, na storage za ufs ambazo hutumika kwenye simu za Bei ghali.

Pia ukitumia Gcam camera ni nzuri, main camera ni sawa na wakubwa wake kama Redmi note 11,

Weakness kubwa ni display yake ni HD kawaida yaani 720p, wakati redmi 9 ilikuwa 1080p yaani FHD.

Kama unaweza ishi na kioo cha kawaida ni simu nzuri sana. Competition kwa simu kama hii wanauza laki 4 kupanda, mfano Samsung A23.
Sorry mkuu, unatumia simu gani?
 
vipi hii ulinunulia wapi?? ni dual sim card?? naona aliexpress nyingi wanauza zile za mitandao ya simu na nyingi ni single line
Yangu ni single sim, kuna kipindi wakati LG wanakaribia kufunga Biashara ziliuzwa kama Keki mkuu, Brand new chini ya laki 6.

Sasa hivi unapata refurb za mitandao ya simu ebay Around laki 3, plus usafiri na kodi inasimama kama laki 4 mpaka 4 na nusu.

Silent ocean wameanza Huduma za forwading marekani, walisema wataanzisha na Air cargo, sijajua kama tayari ila itasaidia sana kwa laymen kununua Vitu USA.
 
Yangu ni single sim, kuna kipindi wakati LG wanakaribia kufunga Biashara ziliuzwa kama Keki mkuu, Brand new chini ya laki 6.

Sasa hivi unapata refurb za mitandao ya simu ebay Around laki 3, plus usafiri na kodi inasimama kama laki 4 mpaka 4 na nusu.

Silent ocean wameanza Huduma za forwading marekani, walisema wataanzisha na Air cargo, sijajua kama tayari ila itasaidia sana kwa laymen k
Tajiri mtataa kama Salaah
 
Tutachukua tu broo haya mambo yapo tu
Kwa simu moja itakucost kama 1.2m kuileta, haina mantiki kwa mtu wa kawaida.

Ila kilo 45 kwa mfanyabiashara anaweza akaleta simu 135 ambayo roughly inamcost kama 9000 kwa kila simu.
 
Back
Top Bottom