Zote niliona miyeyusho nikachukua mi note 11Umetumia kigezo gani ku compare hizo simu mbili
Ni sawa na ku compare tecno f1 na Nokia 2.1 just because specs zake zinafanana camera 8mp, ram 1gb, rom 8gb..pamoja na kufanana vitu basic ambavyo ndo wengi huangalia ila hizo ni simu mbili tofauti kabisa
Sorry mkuu, unatumia simu gani?Kwa price point ya 350k kushuka hakuna simu yoyote inayokaribia redmi 10C.
Highlight ya hio simu ni snapdragon 680 ambayo ni soc nzuri sana kwa hio bei, na storage za ufs ambazo hutumika kwenye simu za Bei ghali.
Pia ukitumia Gcam camera ni nzuri, main camera ni sawa na wakubwa wake kama Redmi note 11,
Weakness kubwa ni display yake ni HD kawaida yaani 720p, wakati redmi 9 ilikuwa 1080p yaani FHD.
Kama unaweza ishi na kioo cha kawaida ni simu nzuri sana. Competition kwa simu kama hii wanauza laki 4 kupanda, mfano Samsung A23.
Lg G8xSorry mkuu, unatumia simu gani?
Hiyo Note 11 ni Samsung au aina gani?Zote niliona miyeyusho nikachukua mi note 11
vipi hii ulinunulia wapi?? ni dual sim card?? naona aliexpress nyingi wanauza zile za mitandao ya simu na nyingi ni single lineLg G8x
Yangu ni single sim, kuna kipindi wakati LG wanakaribia kufunga Biashara ziliuzwa kama Keki mkuu, Brand new chini ya laki 6.vipi hii ulinunulia wapi?? ni dual sim card?? naona aliexpress nyingi wanauza zile za mitandao ya simu na nyingi ni single line
A03 ni nzuri (A03 na sio A03s ama A03 core).kati ya redmin 10A na samsung A03 Ip zuri kuchukua
Asante ChiefA03 ni nzuri (A03 na sio A03s ama A03 core).
Pia alternative nyengine at same price point ni Redmi 9 Tigoshop, 32gb version ni 280,000
Tajiri mtataa kama SalaahYangu ni single sim, kuna kipindi wakati LG wanakaribia kufunga Biashara ziliuzwa kama Keki mkuu, Brand new chini ya laki 6.
Sasa hivi unapata refurb za mitandao ya simu ebay Around laki 3, plus usafiri na kodi inasimama kama laki 4 mpaka 4 na nusu.
Silent ocean wameanza Huduma za forwading marekani, walisema wataanzisha na Air cargo, sijajua kama tayari ila itasaidia sana kwa laymen k
Nimeuliza ni kilo 45 wanaanzia, sema bei yao rahisi dola 11, itawafaa wafanyabiashara.Tajiri mtataa kama Salaah
Tutachukua tu broo haya mambo yapo tuNimeuliza ni kilo 45 wanaanzia, sema bei yao rahisi dola 11, itawafaa wafanyabiashara.
Kwa simu moja itakucost kama 1.2m kuileta, haina mantiki kwa mtu wa kawaida.Tutachukua tu broo haya mambo yapo tu