Ipi ina nguvu kati ya Boxer 150 na Sanlg 150?

Ipi ina nguvu kati ya Boxer 150 na Sanlg 150?

Sanlg zimekuwa designed kwa ajili ya mizigo mizito.
Boxer in other side ni speed, kuchanganya faster.. na smoothness
Hizi story za kwamba boxer haijawa designed kubeba mizigo mizito sijui mlidanganywa na nani...tena frame/chasis ya boxer ni imara kuliko hizo za sanlg...sasa sijajua kigezo hicho mlikipimia wapi?

unaweza ukanitajia ni nini Sanlg inabeba na boxer haitaweza kubeba!
 
Hizi story za kwamba boxer haijawa designed kubeba mizigo mizito sijui mlidanganywa na nani...tena frame/chasis ya boxer ni imara kuliko hizo za sanlg...sasa sijajua kigezo hicho mlikipimia wapi?

unaweza ukanitajia ni nini Sanlg inabeba na boxer haitaweza kubeba!
Mfano roba la mahindi kilo mia je boxer inaweza beba??

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Mfano roba la mahindi kilo mia je boxer inaweza beba??

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
kwahiyo unataka kusema zikiwekwa hizo Kg 100 za mahindi nini kitatokea? pikipiki itavunjika? haitaweza kuondoka?[emoji1787]

mimi nina Kilo 84, jamaa yangu ana 96 na wife ana 70 na wote tulikua tunapanda Boxer, sasa niambie ni kilo ngapi hizo jumla [emoji23]

mimi naongea hivi kwasababu niliwahi tumia Boxer 150 ya jamaa kubebea magunia ya mahindi na mpunga.

mahindi nilikuwa napakia gunia mbili na inapiga kaz vzuri tuu, na mpunga zilikuwa zinapangwa gunia 4.

sasa sijajua wewe unaongea kwa experience ipi au ni maneno ya vijiweni.
 
kwahiyo unataka kusema zikiwekwa hizo Kg 100 za mahindi nini kitatokea? pikipiki itavunjika? haitaweza kuondoka?[emoji1787]

mimi nina Kilo 84, jamaa yangu ana 96 na wife ana 70 na wote tulikua tunapanda Boxer, sasa niambie ni kilo ngapi hizo jumla [emoji23]

mimi naongea hivi kwasababu niliwahi tumia Boxer 150 ya jamaa kubebea magunia ya mahindi na mpunga.

mahindi nilikuwa napakia gunia mbili na inapiga kaz vzuri tuu, na mpunga zilikuwa zinapangwa gunia 4.

sasa sijajua wewe unaongea kwa experience ipi au ni maneno ya vijiweni.
Duuuuh shikamoo jomba... pengine boxer yangu ni mbofu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
ishu ni kwamba ukiipakilia mamizigo boxer ikichoka spare zake ni ghali mno tofauti na san lg hivo zinahitaji matunzo zisikufilisi
 
Boksa/tvs-lakshare😁(kwa sauti ya kinyantuzu)
Sanlg-mzee wa kazi.
 
kwahiyo unataka kusema zikiwekwa hizo Kg 100 za mahindi nini kitatokea? pikipiki itavunjika? haitaweza kuondoka?[emoji1787]

mimi nina Kilo 84, jamaa yangu ana 96 na wife ana 70 na wote tulikua tunapanda Boxer, sasa niambie ni kilo ngapi hizo jumla [emoji23]

mimi naongea hivi kwasababu niliwahi tumia Boxer 150 ya jamaa kubebea magunia ya mahindi na mpunga.

mahindi nilikuwa napakia gunia mbili na inapiga kaz vzuri tuu, na mpunga zilikuwa zinapangwa gunia 4.

sasa sijajua wewe unaongea kwa experience ipi au ni maneno ya vijiweni.
Wewe jamaa uliua chuma cha mwenzio....
Boxer haitaki hizo japo itatembea.... Ila kuna vitu vingi vitaanza kufa taratibu kwa ulichokifanya

Boxer haitaki shida coz yenyewe inatumia timing chain tofauti na sanlg ambayo inatumia pushload

Hivyo boxer haitaki purukushani hizo mara kwa mara... Fuata menu yake na usiende tofauti kama kubeba kilo tofauti na zile zilizoelekezwa
 
Wewe jamaa uliua chuma cha mwenzio....
Boxer haitaki hizo japo itatembea.... Ila kuna vitu vingi vitaanza kufa taratibu kwa ulichokifanya

Boxer haitaki shida coz yenyewe inatumia timing chain tofauti na sanlg ambayo inatumia pushload

Hivyo boxer haitaki purukushani hizo mara kwa mara... Fuata menu yake na usiende tofauti kama kubeba kilo tofauti na zile zilizoelekezwa
Chuma ya mwamba bado ipo halafu ni nzima hatari!

sema tatizo ni story za vijiweni ndo mnasambaziana sumu.

Nani aliyesema timing chain haiwezi purukushani ukilinganisha na push road [emoji1787] kwani timing chain ama push roads kazi yake ni nini? kwa point hiyo unataka kusema engine za magari haziwezi purukushani ukilinganisha na za sanlg? maana magari pia yanatumia timing chain, kitu ambacho hakihusiani kabisa na purukushani au ubebaji wa mizigo
 
Back
Top Bottom