Si kweli hacha kupotosha watu. TIN hutolewa bure. Ila ukishapata TIN then unahitaji leseni ya biashara hapo ndipo wanakukadiria Kodi. Alafu kwenye leseni wanakuuliza ni biashara gani wanakulima pia kwa sababu kila aina ya biashara na kiwango chake.Inaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
Rafiki, TIN ya biashara haitoki bila kulipa kodi. Ni kweli utaambiwa TIN ni bure ila kabla hujaipata kodi inakutoka. Naongea kitu nina uhakika na mwezi wa 7 tena imenitokea. Sipotoshi ndg yangu.Si kweli hacha kupotosha watu. TIN hutolewa bure. Ila ukishapata TIN then unahitaji leseni ya biashara hapo ndipo wanakukadiria Kodi. Alafu kwenye leseni wanakuuliza ni biashara gani wanakulima pia kwa sababu kila aina ya biashara na kiwango chake.
Ni sawa na kuiuliza shule, ukiffeli mtihani wakati ushalipa ada?Inaanza TIN kama walivokwambia wengine,
Ila nikujuze, ukienda kuomba TIN ya biashara lazima wakutoze kodi ya makadilio (Provisional Tax) hata kama biashara haijaanza na hujapata leseni. Imenitokea juzi nikawaambia TRA sasa nikinyimwa leseni na kodi nishalipa itakuwaje?
Hawana jibu, ni lazima ulipe kodi kwanza ndo TIN inatoka
Si kweli hacha kupotosha watu. TIN hutolewa bure. Ila ukishapata TIN then unahitaji leseni ya biashara hapo ndipo wanakukadiria Kodi. Alafu kwenye leseni wanakuuliza ni biashara gani wanakulima pia kwa sababu kila aina ya biashara na kiwango chake.
TIN?? [emoji23][emoji23] Bure????"TIN hutolewa bure"
inabid uwe na TIN then ndo uanze kufuatilia leseni ya biashara husika.
ukishapata tin,wanakupa tax clearance ndiyo itaidhinisha kulipia leseni, bila clearance huwezi pata leseni.Habari zenu GT! Nina mpango wa kuanzisha biashara ili niweze jikwamua na tatizo la ajira, Naomba kujua nnatakiwa kuanza kupata kipi kati ya TIN (Taxpayer Identification Number) na Leseni ya biashara?
Withholding tax tena? Duuh, sasa kama wewe ni mpanagaji unalipaje withholding tax?Lazima ulipe withholding tax(nafikiri inatokana na kodi ya kupanga) ,,halafu mtajadiliana kukadiria mapato yako ili ulipe kodi.
in summary utalipishwa witholding tax + kodi ya makadirio...
niliambiwa hivyo
Ukioangalia kwenye ile nyaraka unayojaza unapoomba leseni, kuna mahali panaelezea kama unaomba leseni ya biashara ya kwa ajili ya udereva! Kwa hiyo ukijaza ya udereva, maana yake siyo ya kibiashara, ukitaka kufanya biashara, inabidi ukatoe taarifa, ili waifanyie 'update', ili uendelee na mambo mengine.Ni kweli TIN ya biashara ni tofauti na TIN ya Udereva sijuhi kwanini, ila ndivyo walivyo.
TIN ya biashara inalipiwa kiwango cha chini kwanza"TIN hutolewa bure"
inabid uwe na TIN then ndo uanze kufuatilia leseni ya biashara husika.
Ukioangalia kwenye ile nyaraka unayojaza unapoomba leseni, kuna mahali panaelezea kama unaomba leseni ya biashara ya kwa ajili ya udereva! Kwa hiyo ukijaza ya udereva, maana yake siyo ya kibiashara, ukitaka kufanya biashara, inabidi ukatoe taarifa, ili waifanyie 'update', ili uendelee na mambo mengine.