Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
- Thread starter
-
- #81
kumbe mnaongelea avatar..
Nyie shangaeni Avatar tu ila siku mkija kuwaona wenyewe na kukuta ni vibajaji nitawacheka kweli.....
:A S-confused1::A S-confused1::flock:
Mmmhhh paka unakatisha tamaa. ..Nyie shangaeni Avatar tu ila siku mkija kuwaona wenyewe na kukuta ni
vibajaji nitawacheka kweli.....
:A S-confused1::A S-confused1::flock:
Mmmhhh paka unakatisha tamaa. ..
Mmhhh
kumbe mnaongelea avatar..
Niambieni, ipi avatar gani inakuacha hoi? Aliyelala chali ni Preta na anayekonyeza ni Rose.
Mimi zote tamu.
hahahahahahaaa,hujatulia wewe
Mmmhhh paka unakatisha tamaa. ..
Mmhhh
:frusty::frusty::car::A S-heart-2:
Afro..Afrooo...Afrooooo...Afroooooo..Afroooooooooooooooo...unaniumiza. Kwani ile uliyokuwa mpole kwa nini umeibadilisha?
Afrodenzi umeona hizo kiss za shavuni na sweetdreams tu zilivyowatoa watu roho ? wajulishe umebadili avatar baada ya comment yangu wapasuke kabisa lol!
TAHADHARI: usizuzuke na avatar wengine wanaume badala ya 'kupanda' ikawa vingine hahaha!Nami nimebadili ili 'nimpande'. Mi jogoo la mbegu.
TAHADHARI: usizuzuke na avatar wengine wanaume badala ya 'kupanda' ikawa vingine hahaha!
you look super cool in them red dress
hope ya gettin ready for 14 of feb
Afrodenzi umeona hizo kiss za shavuni na sweetdreams tu zilivyowatoa watu roho ? wajulishe umebadili avatar baada ya comment yangu wapasuke kabisa lol!
Aaaah mama,mi nilikuwa nawaza tu........
Atapandwa tu. Mimi ni jogoo la majogoo.
of coz naona siku zina kimbia sasa borea nianze kujitayarisha hahah lol..
mmmhh huyo simba ndo kanifanya nijisikia naingia jangoni na gauni langu hahah lol
i like ur new avatar lol
Afro..Afrooo...Afrooooo...Afroooooo..Afroooooooooooooooo...unaniumiza. Kwani ile uliyokuwa mpole kwa nini umeibadilisha?
Mi ya Preta, maana najiuliza alianza kuvua akapitiwa na usingizi au? maana ilipofika...