Inalipa kwa kutaka kufanya nini? Mshahara mkubwa, upatikanaji ajira, au inalipa kufanya magumashi?
Mwambie asome kitu anachokiweza, future kwa Tanzania bado siyo predictable sana, mimi nakumbuka niliambiwa UHASIBU unafuture nzuri na niliosoma kwa nguvu zoote na nikafanikiwa kupata mpaka CPA lakini maisha yangu ni ya kawaida sana kuliko hata jirani yangu ambaye ni Askari wa usalama barabarani ambaye enzi zetu alishindwa mtihani wa form six.Habari zenu wakuu! Naomba kupatiwa ufafanuzi juu ya program gani itakuwa na future nzuri kati ya hizo nilizozitaja hapo juu. Bwana Mdogo kaniomba ushauri juu ya program ipi kati ya hizo tajwa hapo juu aendelee nayo kwa level ya masters kwa hapa chini. Alisoma BSc. Wildlife Management na ameajiliwa, sasa anataka kutanua wigo kwa kusoma kati ya hizo progam. Tunachotaka kujua ni program ipi ina future nzuri? Halafu hizi progam zinashabihiana kwa kiasi fulani, je "future careers" zake ni zipi ambazo zinazifanya hizi program zitofautiane? Ni hayo tu!
Habari zenu wakuu! Naomba kupatiwa ufafanuzi juu ya program gani itakuwa na future nzuri kati ya hizo nilizozitaja hapo juu. Bwana Mdogo kaniomba ushauri juu ya program ipi kati ya hizo tajwa hapo juu aendelee nayo kwa level ya masters kwa hapa chini. Alisoma BSc. Wildlife Management na ameajiliwa, sasa anataka kutanua wigo kwa kusoma kati ya hizo progam. Tunachotaka kujua ni program ipi ina future nzuri? Halafu hizi progam zinashabihiana kwa kiasi fulani, je "future careers" zake ni zipi ambazo zinazifanya hizi program zitofautiane? Ni hayo tu!
Mwambie asome kitu anachokiweza, future kwa Tanzania bado siyo predictable sana, mimi nakumbuka niliambiwa UHASIBU unafuture nzuri na niliosoma kwa nguvu zoote na nikafanikiwa kupata mpaka CPA lakini maisha yangu ni ya kawaida sana kuliko hata jirani yangu ambaye ni Askari wa usalama barabarani ambaye enzi zetu alishindwa mtihani wa form six.
aaaaaall iz weeeeell...
Mwambie asome kitu anachokiweza, future kwa Tanzania bado siyo predictable sana, mimi nakumbuka niliambiwa UHASIBU unafuture nzuri na niliosoma kwa nguvu zoote na nikafanikiwa kupata mpaka CPA lakini maisha yangu ni ya kawaida sana kuliko hata jirani yangu ambaye ni Askari wa usalama barabarani ambaye enzi zetu alishindwa mtihani wa form six.