Ipi kapo kali kati ya hizi

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
1😀iamond na Wema
















2😀iamond na Zari
















3:Wema na Idriss








4:Baraka da prince na Najma














5:Aika na Nah reel














6:Ali kiba na Jokate















7:Jux na vanessa





















8:Jux na Jack Patrick











9:Harmonize na Wolper



10:Tunda na Young D














11:Shishi baby na Nuh mziwanda



12:Kajala na P funk
 

Attachments

  • 1473621627009.jpg
    41.8 KB · Views: 137
Hiki kitoto lazima kichukue pesa yangu walahi, mwenye namba ya Tunda tafadhari anipatie ............Young D hawezi kumpa maisha anayostahili huyo binti.


hahahaaaaa,mtafute mkuu,kitoto utafikiri kimechorwa aisee
 
Namba 8 ilikuwa poa sana
Sema ndo hivyo tena kontena lipo uwanja wa polisi
Umeona eeh, kapo yao ilikuwa bomba sana na angekuwa uraiani ndio ingekuwa kapo inayozungumziwa sana
 
Mmesahau ya Juma Nature na Sinta hizi ndo zilizofungua njia kwa wasanii wa ubongo wa fleva miaka ya 2000's...ilisababisha Nature aimbe "Sitaki Demu" baada ya Mtoto wa Dandu kupora tunda lake
 
Mmesahau ya Juma Nature na Sinta hizi ndo zilizofungua njia kwa wasanii wa ubongo wa fleva miaka ya 2000's...ilisababisha Nature aimbe "Sitaki Demu" baada ya Mtoto wa Dandu kupora tunda lake
Zipo nyingi kama ile ya


Wema na Mr Blue


Wema na TID



Wema na Q chief


Shilole na young D
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…