Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Lakini hiyo ya Nature ndo iliyotangulia kushinda zote hizo yani kama ugawaji wa Tuzo inapata ile ya heshima sababu ilifungua njia kwa vijana wa bara na visiwaniZipo nyingi kama ile ya
Wema na Mr Blue
Wema na TID
Wema na Q chief
Shilole na young D
shilole [emoji15] [emoji15] na young D?Zipo nyingi kama ile ya
Wema na Mr Blue
Wema na TID
Wema na Q chief
Shilole na young D
Yahshiloke na young D?
Unajuwa hao wahusika wapo humu watakufata na file lako ujute sio wakuchezea hao atiii
[emoji15] [emoji15] [emoji15] si mwanawe yule?
Kabla shilole hajaenda kwa Nuh Mziwanda , young D katoka naye sanashiloke na young D?
mi najua Barnaba...!Kabla shilole hajaenda kwa Nuh Mziwanda , young D katoka naye sana
Kwani we mgeni kwa shishi au?? We humuoni kila siku anavyojinadi mtandaoni kuwa vijana wadogo ndio wana msugua vizuri[emoji15] [emoji15] [emoji15] si mwanawe yule?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] ddaaah!ni shidaaah!Kwani we mgeni kwa shishi au?? We humuoni kila siku anavyojinadi mtandaoni kuwa vijana wadogo ndio wana msugua vizuri
Mkuu umewuwaaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Alikuwa ana mfanyia hivyo Nuh tu, chukulia mfano kama ile kapo yake na man fongo ingekuwa kweli , angeweza kumchapa makofi man fongo kweli???[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] ddaaah!ni shidaaah!
ndo maana anavipiga...!
Jux na vee bana mpaka jacky atoke ndio ntajua yaliyomo yamo aujux na Vanessa,aika na nahreel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanifuate na file langu kwa kosa lipi hasa?
Hujuwi kuwa "Wagombanao ndiyo wapatanao?
Hupendi itokee siku king Le Mutuz na Mange wawe kapo?
-Kaveli-
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mange kasema hataki kudate na masikini sasa ukiangali Le Mutuz ni tia maji tia maji kwahiyo hapo ni impossible mission
Wapatane ila wataishia kuwa marafiki wa kawaida
Nitafurahi kwakweli wakiwa pamoja halafu waje na reality showa yao watauza ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umenichesha kinoma hako katoto ni kazur aseee yaaan balaaaHiki kitoto lazima kichukue pesa yangu walahi, mwenye namba ya Tunda tafadhari anipatie ............Young D hawezi kumpa maisha anayostahili huyo binti.
watarudiana tu hao siku si nyingiKwa chemistry za live, wema na diamond. Yan kapo yao ilkua so sweeet. Walikua wapenzi wanaopendana kidhati machoni mwa wa2, ndan wanajuana wao. Maana maneno hayatambulishi ki2 bali matendo. I wish warudiane
PytuuuuuuuKwani we mgeni kwa shishi au?? We humuoni kila siku anavyojinadi mtandaoni kuwa vijana wadogo ndio wana msugua vizuri