Ipi kapo kali kati ya hizi

Ipi kapo kali kati ya hizi

Mkuu umewuwaaaa [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]


Mkuu, LIFE has a lot of surprise! Inaweza tokea siku Le Mutuz na Mange wakawa kapo. Teh

There is no permanent situation.

-Kaveli-
 
Wanifuate na file langu kwa kosa lipi hasa?

Hujuwi kuwa "Wagombanao ndiyo wapatanao?

Hupendi itokee siku king Le Mutuz na Mange wawe kapo?

-Kaveli-
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mange kasema hataki kudate na masikini sasa ukiangali Le Mutuz ni tia maji tia maji kwahiyo hapo ni impossible mission
Wapatane ila wataishia kuwa marafiki wa kawaida
Nitafurahi kwakweli wakiwa pamoja halafu waje na reality showa yao watauza ujue
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mange kasema hataki kudate na masikini sasa ukiangali Le Mutuz ni tia maji tia maji kwahiyo hapo ni impossible mission
Wapatane ila wataishia kuwa marafiki wa kawaida
Nitafurahi kwakweli wakiwa pamoja halafu waje na reality showa yao watauza ujue


Yep. In LIFE, you should learn to expect the unexpected!

-Kaveli-
 
Kwa chemistry za live, wema na diamond. Yan kapo yao ilkua so sweeet. Walikua wapenzi wanaopendana kidhati machoni mwa wa2, ndan wanajuana wao. Maana maneno hayatambulishi ki2 bali matendo. I wish warudiane
 
Kwa chemistry za live, wema na diamond. Yan kapo yao ilkua so sweeet. Walikua wapenzi wanaopendana kidhati machoni mwa wa2, ndan wanajuana wao. Maana maneno hayatambulishi ki2 bali matendo. I wish warudiane
watarudiana tu hao siku si nyingi
 
Back
Top Bottom