Ipi kati ya hizi BANKS ni nzuri

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Wasalaam.

Kati ya hizi benki naomba kujua ipi nzuri na kwanini in general kwa upande wa huduma na mengine mengi yanayohusu huduma muhimu za kibenki.

  1. STANBIC
  2. ECO BANK
  3. BOA BANK
  4. STANDERD CHARTERED
  5. BANK OF BARODA
  6. BARCLAYS BANK
  7. FNB BANK
  8. UBA BANK


Kama kuna mwingine anajua another international banks zingine nzuri tafadhali ongezea.

 
Inategemea unachokifuata huko kwenye Bank husika, Kuna Bank za maskini, matajiri na wafanyabiashara wa kimataifa kama ishu ni Transactions za kawaida tu kila bank ina fanya, Specify unahitaji kitu gani? Mikopo ya kimaskini, kitajiri au Import
 
Inategemea unachokifuata huko kwenye Bank husika, Kuna Bank za maskini, matajiri na wafanyabiashara wa kimataifa kama ishu ni Transactions za kawaida tu kila bank ina fanya, Specify unahitaji kitu gani? Mikopo ya kimaskini, kitajiri au Import
Ni kweli kabisa ndugu, ni muhimu kuainisha mahitajio ndipo bank sahihi itashauriwa, kila bank ina uzuri na mapungufu yake
 
Inategemea unachokifuata huko kwenye Bank husika, Kuna Bank za maskini, matajiri na wafanyabiashara wa kimataifa kama ishu ni Transactions za kawaida tu kila bank ina fanya, Specify unahitaji kitu gani? Mikopo ya kimaskini, kitajiri au Import
Duh mkuu kuna benk za neno "kimasikini" ??
Anyway naitaji benki ya "kitajiri"
 
Inategemea unachokifuata huko kwenye Bank husika, Kuna Bank za maskini, matajiri na wafanyabiashara wa kimataifa kama ishu ni Transactions za kawaida tu kila bank ina fanya, Specify unahitaji kitu gani? Mikopo ya kimaskini, kitajiri au Import

Bank inayoweza kunifanya ni withdraw pesa kutoka kwenye PAYPAL Acc yangu kwa hapa Tz. Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…