Ipi kazi ya Matron siku ya harusi?

Ipi kazi ya Matron siku ya harusi?

Siku ya harusi kazi yake ni kukufutafuta jasho , na mambo mengine kukuweka sawa. pia ni shahidi na msimamizi wa ndoa yenu. Mkipata tatizo na mkashindwa kusuluhisha nyie wenyewe basi mnaanzia kwa wadhamini(wasimamizi) wenu.
Shukrani ndugu
 
Kwanza nikwambie kuwa inategemea harusi inayofungwa ni ya dini gani. Mfano madhehebu ya kikristu mengi ukiacha roman catholic (huwa hawajali). Matron wako anatakiwa awe ameolewa..na mume wa huyo matron ndio anatakiwa awe ni patron wa bwana harusi..unatakiwa kuchagua watu ambao watakupa ushauri mzuri na watasimamia maadili ya ndoa yenu kwa ufasaha.
sasa si kila mwanamke anajua kukata mauno na hata kama anajua anaweza asiweze kukufundisha ipasavyo. Ndio maana kuna mtu maalum wa kukufundisha mambo ya chumbani siku ya kitchen party. Na mara nyingi si matron.
Sasa kama kwako wewe ilitokea matron wako akakufundisha si mbaya pia. Mtu yoyote anaruhusiwa kukufundisha. kwa upande wangu sikufundishwa na matron.
Shukrani sana
 
Kazi kubwa ilikuwa kushughudia wakati wa tendo la ndoa kama
bi harusi ni bikira ila mama mzee chema apewe zawadi zake;

Miaka hii naona hawana kazi hiyo tena labda hiyo ya kufuta futa jasho tu;
Nimecheka kweli kweli, imebaki kufuta jasho tu hahaha.
 
Back
Top Bottom