Azer Zepha
Member
- Apr 29, 2020
- 29
- 39
Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi.
Wana JF nipeni ushauri kati ya kozi hizo mbili ipi ni marketable?
Wana JF nipeni ushauri kati ya kozi hizo mbili ipi ni marketable?