Ipi ni adhabu sahihi kwa mwanamke

Ipi ni adhabu sahihi kwa mwanamke

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Katika maisha ya ndoa lazima mkwaruzano uwepo wa hapa na pale

Na mwanamke anaweza akakukosea na mwanaume ukataka umpe adhabu ili naye aumie,ajutie kosa lake ili asije akalirudia tena

Ipi adhabu inaweza ikamuumiza mwanamke

1) Kutofanya naye mapenzi kwa wiki kadhaa huku unalala na nguo

2) Kususa kula chakula alichopika kila akikukaribisha unamwambia nimeshiba ila kila siku unatoa hela ya matumizi

3) kumtishia kuoa mke mwingine

4) kununa wiki nzima bila kuongeleshana

5) kumgombeza kwa maneno makali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke hapewi adhabu ila anaelimishwa vipi na wewe akikupa adhabu utafanya nini au ndio utamuhukumu tu kwa sababu wewe ni mwanaume vitu vingine wanaume tujifunze kuwa care wanawake umeshaambiwa muishi nao kwa akili sio kwa adhabu
 
Tuanzie hapa,unazungumzia mwanamke-mke au mpenzi?maana kwa mpenzi na mke adhabu haziwezi kufanana...
 
1. Jishushe uombe msamaha wewe hata kama kakosa yeye.
2. Mbembeleze kwa maneno matamu na laini hata kama kakukosea.
3. Hizi njia zikishindwa inabidi uoneshe uanaume wako kwa kumkaripia akija juu msogeze akili kidogo kwa vibao hata 3 ili atambue kuna mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adhabu pekee kwa mwanamke hadi ashike adabu zake ni; Kumpiga khanga pea 2 na Wax Og pea 2. Halafu unamwambia NAKUPENDA SANA.
Tafuta hela umtoe out, ale anachotaka na umbusubusu kila mara. Nakuambia, atashika adabu yake. Mbona wao hutupiga kwa kujimwaga mbele yetu usiku kucha akidai umwonyeshe alichokupungukia hadi uchepuke??
 
ukisusa kumbandua wenzako watambandua na kukucheke

kwanini utumbo utupwe wakati wanalia ndizi
 
Adhabu pekee kwa mwanamke hadi ashike adabu zake ni; Kumpiga khanga pea 2 na Wax Og pea 2. Halafu unamwambia NAKUPENDA SANA.
Tafuta hela umtoe out, ale anachotaka na umbusubusu kila mara. Nakuambia, atashika adabu yake. Mbona wao hutupiga kwa kujimwaga mbele yetu usiku kucha akidai umwonyeshe alichokupungukia hadi uchepuke??
Labda wa kwako,wengine wakisewa anabaki analia na kulala chumba kingine au kulala na nguo huku hataki aguswe,wanaume kuna muda inabidi tuapply machenics zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wa kwako,wengine wakisewa anabaki analia na kulala chumba kingine au kulala na nguo huku hataki aguswe,wanaume kuna muda inabidi tuapply machenics zingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna mwanamke asoguswa na mema ya mumewe. Ila ka weye ni ngumi mkononi, utampiga sana hadi umtoe jicho lakini hakuna badiliko.
 
Katika maisha ya ndoa lazima mkwaruzano uwepo wa hapa na pale

Na mwanamke anaweza akakukosea na mwanaume ukataka umpe adhabu ili naye aumie,ajutie kosa lake ili asije akalirudia tena

Ipi adhabu inaweza ikamuumiza mwanamke

1) Kutofanya naye mapenzi kwa wiki kadhaa huku unalala na nguo

2) Kususa kula chakula alichopika kila akikukaribisha unamwambia nimeshiba ila kila siku unatoa hela ya matumizi

3) kumtishia kuoa mke mwingine

4) kununa wiki nzima bila kuongeleshana

5) kumgombeza kwa maneno makali

Sent using Jamii Forums mobile app


Bro hapo hakuna hata adhabu inayofaa. Lazima tuwajue wanawake na tuishi nao kwa wema. Wanawake wanataka kusimamiwa na kuelekezwa.

Unachotakiwa kufanya hapo ni kumuonyesha wapi amekosea,kisha kumpa nasaha. Sasa hapa kwenye nasaha ndio kuna tatizo.Tulio wengi hatujui namna ya kumnasihi mtoto wa kike.

Nasaha inataka elimu,kwani ukikosea kumpa nasaha unaongeza tatizo lingine.

Lililo la muhimu ni kuweka kitu mahala pake,penye ukali tumia ukali na penye upole tumia upole. Katu usiwaze kumkomoa mwanamke,wanawake wadhaifu sana.

Wewe leo hii unaweza kumfanyia kila kitu mwanamke,ukamfanyia wema wote,ils siku ukimkosea kosa moja tena dogo,utamsikia akisema "Mwanaume huna wema wewe,mwanaume mbaya sana,huna hata haya,wema ulionifanyia mimi mpaka sasa ?"

Sasa mtu kama huyu ukisema umkunje lazima utamvunja,sasa unatakiwa uende nae taratiiibuu.
 
Katika maisha ya ndoa lazima mkwaruzano uwepo wa hapa na pale

Na mwanamke anaweza akakukosea na mwanaume ukataka umpe adhabu ili naye aumie,ajutie kosa lake ili asije akalirudia tena

Ipi adhabu inaweza ikamuumiza mwanamke

1) Kutofanya naye mapenzi kwa wiki kadhaa huku unalala na nguo

2) Kususa kula chakula alichopika kila akikukaribisha unamwambia nimeshiba ila kila siku unatoa hela ya matumizi

3) kumtishia kuoa mke mwingine

4) kununa wiki nzima bila kuongeleshana

5) kumgombeza kwa maneno makali

Sent using Jamii Forums mobile app

Adhabu sahihi ni kumrudisha kwao miezi mitatu
 
Back
Top Bottom