Ipi ni bei halali ya Pikipiki?

Ipi ni bei halali ya Pikipiki?

brawn shao

Member
Joined
May 8, 2014
Posts
62
Reaction score
50
Hii inawahusu hasa wauzaji na wasambazaji wa pikipiki, na TRA

SWALi.......kwenu

napenda kujua bei halali ukitaka kununua pikipiki hizi za 150cc mfano-: Toyo,Kinglion na zinginezo
..........
Nimeuliza kwa sababu juzi mshikaji wangu alinunua pikipiki (kinglion 150cc) kwa shilingi 1.64 mil..... Ila chakushangaza alipewa risiti ya sh 1.2 mil...

Baada ya kuchunguza mimi mwenyewe niligundua huu mchezo upo sana hasa kwa wauzaji wengi........

Hivi TRa mnalitambua hilo????

Enyi wauzaji why mnalaghai walalahoi na watz wenzenu????

Tafadhali kwa yyte anaejua bei elekezi atusaidie maana nimeshindwa kwenda kulalamika coz cjui bei halali

ni hyo tu Wanajamvi..........
 
Hii inawahusu hasa wauzaji na wasambazaji wa pikipiki, na TRA

SWALi.......kwenu

napenda kujua bei halali ukitaka kununua pikipiki hizi za 150cc mfano-: Toyo,Kinglion na zinginezo
..........
Nimeuliza kwa sababu juzi mshikaji wangu alinunua pikipiki (kinglion 150cc) kwa shilingi 1.64 mil..... Ila chakushangaza alipewa risiti ya sh 1.2 mil...

Baada ya kuchunguza mimi mwenyewe niligundua huu mchezo upo sana hasa kwa wauzaji wengi........

Hivi TRa mnalitambua hilo????

Enyi wauzaji why mnalaghai walalahoi na watz wenzenu????

Tafadhali kwa yyte anaejua bei elekezi atusaidie maana nimeshindwa kwenda kulalamika coz cjui bei halali

ni hyo tu Wanajamvi..........

mkuu mjini shule; kwa manufaa ya wanunuzi ni vyema ikabaki kua siri ya mnunuzi mpaka ww utakapoenda kununua ndo utajua kwa nn imeandikwa 1.2ml. Biashara ya pikipiki ni biashara huria ivo usitegemee fixed price.
 
Hii inawahusu hasa wauzaji na wasambazaji wa pikipiki, na TRA

SWALi.......kwenu

napenda kujua bei halali ukitaka kununua pikipiki hizi za 150cc mfano-: Toyo,Kinglion na zinginezo
..........
Nimeuliza kwa sababu juzi mshikaji wangu alinunua pikipiki (kinglion 150cc) kwa shilingi 1.64 mil..... Ila chakushangaza alipewa risiti ya sh 1.2 mil...

Baada ya kuchunguza mimi mwenyewe niligundua huu mchezo upo sana hasa kwa wauzaji wengi........

Hivi TRa mnalitambua hilo????

Enyi wauzaji why mnalaghai walalahoi na watz wenzenu????

Tafadhali kwa yyte anaejua bei elekezi atusaidie maana nimeshindwa kwenda kulalamika coz cjui bei halali

ni hyo tu Wanajamvi..........

Sasa wewe badala ya kumuuliza huyo muuzaji unakimbilia jf, lengo lako nini? Pikipiki kama imeshasajiliwa TRA hapo hawahusiki tena ni wewe na muuzaji wako ingawa jamaa anakwepa kodi za ndan kwa upande flani
 
mkuu mjini shule; kwa manufaa ya wanunuzi ni vyema ikabaki kua siri ya mnunuzi mpaka ww utakapoenda kununua ndo utajua kwa nn imeandikwa 1.2ml. Biashara ya pikipiki ni biashara huria ivo usitegemee fixed price.

I thnk ifike wakati TRA/gvnt itoe elimu kwa uma na kulimit bei kama walivyofanya kwenye sukari,mafuta n.k... Kwa sababu kutokufanya hivyo hz electonic machines hazitakuwa na maana kuendelea kuwepo na pia wataendelea kupoteza mapato
 
Sasa wewe badala ya kumuuliza huyo muuzaji unakimbilia jf, lengo lako nini? Pikipiki kama imeshasajiliwa TRA hapo hawahusiki tena ni wewe na muuzaji wako ingawa jamaa anakwepa kodi za ndan kwa upande flani

lengo langu ni gvnt itambue huu uhuni tunaofanyiwa wananchi wa kupewa risit za malipo tofaut na ikibidi walimit hizo bei,,,,,,,
 
Mimi nilinunua yangu aina ya TOYO 150cc kwa Tshs 1.820,000...... Sasa sijui niliingizwa chaka..........
 
hivi wewe unanunua 1.64m unapewa receipt ya 1.2m na unakubari so shinda ni yako, mimi ukiniuzia ni lazima unipe receipt inayoendana na malipo niliyotoa if not hakuna biashara, maana hio receipt ni moja ya kithibitisho pale ukitaka insuarance na huduma zingine

MJINI SHURE NO ONE IS THERE TO PROTECT YOUR INTREST APART FROM YOURSELF
 
Back
Top Bottom